Mwanafunzi wa UDSM akamatwa kwa kusambaza taarifa na Takwimu za uongo za Covid-19 WhatsApp

Maskini,, pengine alikusudia kuandika wagonjwa 23 ila akakosea 0 ikajiongeza bila yeye kukusudia.

Ndio imeshakua hivyo watamkazia ili wapatiepo sifa,, kwahiyo fine itamuhusu tu,,
 
Maskini,, pengine alikusudia kuandika wagonjwa 23 ila akakosea 0 ikajiongeza bila yeye kukusudia.

Ndio imeshakua hivyo watamkazia ili wapatiepo sifa,, kwahiyo fine itamuhusu tu,,
Na ndio kilichotokea na hakuna sifa watakayopata, wabunge wa shy nao hovyo tu yamenyamaza kimya, hivi Salome yule mbunge wa vitimaalumu yupo kweli? Hapa ndio namkumbuka Rachel mashishanga
 
Maoni SI lazima mtu akitaka kutoa yapelekwe kwanza shirika la viwango,yakathibitishwe,maoni mtu hutoa tu,tofautisha kutoa maoni na kutoa taarifa rasmi
Mkuu, tofautisha maoni na takwimu. Huyo binti hakutoa maoni ilà alitoa takwimu za walioathirika na waliokufa. Kazipata wapi? That's another question!!
 
Ni issue ndogo mno hata kutumia kuipa muda wa kuifuatilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefuatilia Michango yote kwa umakini ya WADAU waliochangia hapa, nikitegemea kukutana na Mchango wa Mlimbwende Victoire.

Shawty yuko wapi?
 
Huyo rpc nae bumuda tu kama sura lake,ukimuona utafikiria fundi majeneza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Police wa Tanzania kwa mikwara!!!eti wanaweza kudukua WhatsApp serikali kama china wameshindwa kudukua WhatsApp sembuse ccm [emoji23]


Sent using IPhone X
 
Wamsamehe tu, hii sheria huko mbeleni inabidi wake waifute, Uhuru wa kutoa maoni Hapa unakiukwa, kila mtu anajua takwimu rasmi ni zipi na kila mtu anafuatilia taarifa rasmi kwa umakini Sana,
Acha ujinga weewe. Wizara ya Afya pekee ndiyo inayo mamlaka ya kutoa taarifa zozote za magonjwa. Acheni utoto nyie bavicha
 
Kamanda kuwa mpole. Binti amepewa nafasi ya kuthibitisha taarifa zake akiwa mahakamani
 
Ulimbukeni wa mitandao, ngoja sheria ishughulike nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…