Unaweza kutoa taarifa bila kualika watu vizuri tu,hivi viongozi wanavyo toa taarifa kwenye page zao za mitandao huwa wamealika mtu pale?Utatoaje taarifa bila kualika watu? Halafu tangu lini mzaha ukawa kosa kisheria? Na Kama taarifa ilitumwa kwenye grupu la wasap Nani anajukumu la kusimamia maudhui?
Sent using Jamii Forums mobile app