Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Tanga anadaiwa kujinyonga hadi kufa

Umefeli upadri unajinyonga wakati happy ndo unyama sana... Hapo alitakiwa aondoke chapu no kubeba pisi kali za kutosha ni kuziburuza mwanzo mwisho kufidia
 
Vifo vya hivi vina mengi nyuma ya.
Sijajua huo mtihani unakuwa mgumu kiasi gani ikizingatiwa hao waliofaulu na kuwa mapadre ni wakawaida mno huku mtaani mara nyingi tunashindana nao kwa hoja ila kwa ile heshima ya kichungaji aliyo nao tunawapotezea tu.
 
Sisi tunafurahi maana Israel imeonesha makucha yake na kuita hilo jambo dogo. Tahadhari, jifiche maana Wayahudi wanamitafuteni

1. Si tulishakubaliana kuwa kifo hushangiliwa na wapumbafu?

2. Au nyie ni wale wazuri msiokufa?
 
Kule dini ya mababu zetu asingefeli maana hata vilaza huongoza imani. Wangekuwa na mitihani na wanafeli basi angejilipua kufa na wengine na si kujinyonga

Kwani kule Kawe au kwa askofu Rashida huwa mnafeli nini? Kwenye kufufua wafu au kula kondoo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…