Mwanafunzi wa Upadri (Frateri) wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Tanga anadaiwa kujinyonga hadi kufa

Rip. Ila mapadre wa katoliki wanaongoza kuwa na long life expectancy. Na pia mbali na madhaifu machche ya kidini , catholic ni moja ya taasis ambayo iko well stuctured organized iliyodumu kwa zaidi ya miaka 2000
Ongezea wanakunywa sana 🍻🍺 Ila SIO kunywa kulewa tofautisha kunywa na kulewa

HIO sijasema Mimi nimeropokwa tu
 
Kabla ya kujinyonga angeoa,akajaribu yale mambo kihalali alafu ndio angejiua
 
Hakunaga mitihani novitiate ( mwaka wa kiroho). Itakuwa alikuwa na bifu na mlezi mojawapo wakaona sio kesi, ngojaa tukate kichwa.

Dogo jinga hili,Si angerudi tu kuwa padre wa Jimbo lake .
 
Hakunaga mitihani novitiate ( mwaka wa kiroho). Itakuwa alikuwa na bifu na mlezi mojawapo wakaona sio kesi, ngojaa tukate kichwa.
Wanakuaga na Assessment ambayo inajumusha mambo yote wanayoyachunguza kipindi chote walichokua nawe, baada ya hapo unapewa barua ya kuweka nadhiri, usipopewa ndio basi. Na hicho ndio kilitokea kwake.
 
Wanakuaga na Assessment ambayo inajumusha mambo yote wanayoyachunguza kipindi chote walichokua nawe, baada ya hapo unapewa barua ya kuweka nadhiri, usipopewa ndio basi. Na hicho ndio kilitokea kwake.
Nasikiaa hata vile unatembea, lazima utembee kidingidingi, ukiwa unatembea kama BICHWA KOMWE - [emoji1787] upewi barua ya ku' profes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…