lamar dula
Member
- Aug 4, 2015
- 57
- 10
aisee unasoma chuo gani wewe? au ulimaliza mwaka gani?
kikanuni ndio hivyo huwezi pata chuo mapema hivyo. ila wapo wanachakachua utaratibu, hawaombi kupitia tcu tena bali wansomba nafasi chuoni moja kwa moja tena chuo cha.private, mfano si ajabu mtu kudisco MUHAS mwakani ukamkuta KIU. ukopo ukiendelea kuflow ujue kuna hujuma zinafanyika hapo.
Mm niko Udsm kuna jamaa alidisco pale UD mwak uliofat akaaply ardhi na mpak sas yupo hpo Anasoma sas Cjui Ww sheria hio ulickia Wap