Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

kwann mtoto Wa mnyama akizaliwa tu anaanza kutembea tofauti Wa binadamu?

Binadamu na wanyama wengine wanatofautiana ukuaji katika nadharia ya k-strategist and r-strategists yaaani binadamu ni k wanazaliwa hawajiwezi au precocial youngs (mtoto anahitaji muda mrefu kupata malezi) huku wanyama wengi wakiwa r (wanazaliwa wanajiweza hivyo hakuna haja kuwa na muda mrefu kupata malez) kingine ni virutubisho vya ukuaji kutofautiana baina ya wanyama!

Huku hali ya mazingira mfano kuwindwa au predation ikichangia wanyama wengi kutembea mapema! Mfano katika hifadhi ya Taifa ya Serengeti nyumbu jike kabla hajazaa atatafuta sehemu salama na atakapomzaa itamlazimu mtoto kuamka baada ya dakika 15 na kujifunza mwendo ili akabiliane na changamoto za mbugani!
 
ngoja nianze wengine watakomenti kama ni sawa.
given H=9m
*find final velocity, V.
V=√2gh =√(2×9.8×9)
V= 13.28m/s.
After bouncing, the above final velocity will act as initial velocity(U)
from newton's third law of motion:
v^2=u^2+2gh , find final velocity v'.
v^2=(13.28 )^2 +2×9.8×9
v'=18.76m/s.
Then; V×H=v'×h ,find h,
h= (13.28×9)÷18.76

h=6.37m (utaenda juu mita 6.37)

Hapo kwenye VxH=vxh umeniacha kidogo
 
Factorize :
(a) 6x2 -11xy -10y2
(b) am+3bn-an+3bm

am-an +3bn+3bm
=a(m-n)+3b(n+m)
.'.=a(m-n)+ 3b(n+m) anser

Mh! niki let value ili nihakiki linakataa, hii nouma
 
Back
Top Bottom