Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

pamoja na kumwambia arekebishe, ni vyema kufahamu mchakato uliotumika kwani tukizingatia umbo la ndani la neno "waalimu" ni sahihi.
unaposema "walimu" unakuwa umefanya "udondoshaji" ambapo irabu zinazofanana zikifuatana moja hudondoshwa.
naomba kuwasilisha.

Ndugu, neno Walimu/ Mwalimu, je ni kiwakilishi au nomino?
 
Mpira umedondoshwa kutoka juu kimo cha mita 9 (tisa). Je, baada ya kudunda mpira huo utarudi juu kwa kimo gani?


ngoja nianze wengine watakomenti kama ni sawa.
given H=9m
*find final velocity, V.
V=√2gh =√(2×9.8×9)
V= 13.28m/s.
After bouncing, the above final velocity will act as initial velocity(U)
from newton's third law of motion:
v^2=u^2+2gh , find final velocity v'.
v^2=(13.28 )^2 +2×9.8×9
v'=18.76m/s.
Then; V×H=v'×h ,find h,
h= (13.28×9)÷18.76

h=6.37m (utaenda juu mita 6.37)
 
Last edited by a moderator:
Nimepitia huu uzi nimeona kuna watu wana uharibu kwa kuleta mizaa hivyo ili kuweza kuwasaidia hasa wanafunzi nawaomba Moderator Fung PainKiller wajaribu kuusafisha na kuondoa amabayo si part ya lengo la huu uzi!
Big up muanzisha uzi!
 
Last edited by a moderator:
Why do oxygen support combustion?

to start fire we need three things: fuel, energy and oxidiser, here oxidiser is the molecule that accepts electrons. It turns out that combustion requires the fuel to be oxidized , that is, it donates electrons. So we need something to accept the electrons, the oxidizer, which is then reduced.

Oxygen is a good oxidizer(oxidizing agent) because it is so
electronegative. fluorine is more electronegative than oxygen, and is a superb oxidizer: blow fluorine gas at nearly any substance and it bursts into flames, that is why oxygen is the best in combustion and we need it.
 
Nilikutana na hili swali nikapita mbio

"Fasihi simulizi ni sawa na kaptula iliyokosa mifuko" jadiri ukakasi wa dai hili

Twende kazi we mtaalamu

Awali ya yote unapoona neno "JADILI" basi una mawanda mapana kujieleza nikimaanisha waweza kulikubali au kulikataa swali.

JIBU
Utakataa swali kwamba si kweli fasihi simulizi ni sawa na kaptula iliyokosa mifuko bali ni sawa na kalamu ya dhahabu yenye thamani kubwa inayohitajika katika jamii kisha utatoa umuhimu wa fasihi simulizi huku ukionesha kuwa si sawa na kaptula iliyokosa mifuko(isiyo thamani) kama ifuatavyo

1.Kuelimisha jamii
2.Huiburudisha jamii
3.Huifadhi amali za jamii zisipotee
4.Kuonya na kuiasa jamii
5.Hukuza lugha kwa kuibua misamiati mipya kila uchao
6.Hupatanisha na kuleta watu pamoja. (Utaongezea pia we mwenyewe)

Hitimisho:
Fasihi simulizi ni kongwe hata kabla ya ujio wa maandishi kwani ya kale ni dhahabu na haifananishwi sawa na kaptula iliyokosa mifuko.
 
Geography!!
What is Hydrological Circle... Why Drought and then Desertifaction, if Hydrological Circle exists?
 
Geography!!
What is Hydrological Circle... Why Drought and then Desertifaction, if Hydrological Circle exists?

hydrological cycle>is an endless cycle of water it involve precipitation, infilitration, overland flow, evaporation and condensation.

why drought & then Desertification?
we can have 2 views
1.Natural cause.
2.Artificial cause. E.g human activities like mining, agriculture e.t.c

when those causes operate they cause disturbance in hydrological cycle in one way or another.
 
Why rift valley are more pronounced in Kenya rather than central part of Tanzania?
 
Qn. Why electrical wires which transport electricity is not covered but those wires which supply current are covered?
 
Hujaeleweka katika neno kiswahili au lugha kiswahili kwa ujumla?

Katika mtiririko wa Alfabeti zilizo zoeleka ni 26, lakini katika kiswahili ni Alfabeti 24 zinazotumika. Q na X kwenye kwiswahili hatuzitumii.

Alafu uliza swali ueleweke
 
Awali ya yote unapoona neno "JADILI" basi una mawanda mapana kujieleza nikimaanisha waweza kulikubali au kulikataa swali.
JIBU
Utakataa swali kwamba si kweli fasihi simulizi ni sawa na kaptula iliyokosa mifuko bali ni sawa na kalamu ya dhahabu yenye thamani kubwa inayohitajika katika jamii kisha utatoa umuhimu wa fasihi simulizi huku ukionesha kuwa si sawa na kaptula iliyokosa mifuko(isiyo thamani) kama ifuatavyo
1.Kuelimisha jamii
2.Huiburudisha jamii
3.Huifadhi amali za jamii zisipotee
4.Kuonya na kuiasa jamii
5.Hukuza lugha kwa kuibua misamiati mipya kila uchao
6.Hupatanisha na kuleta watu pamoja. (Utaongezea pia we mwenyewe)
Hitimisho:
Fasihi simulizi ni kongwe hata kabla ya ujio wa maandishi kwani ya kale ni dhahabu na haifananishwi sawa na kaptula iliyokosa mifuko.

Dah.!! umeeleweka sana mkuu, Tunashkru kwa elimu;;
 
String A is 2m long and has a linear mass density of 9g/cm3. String B has a linear mass density of 18g/cm3. If the tension in both strings is the same, how long must string B be for it to be at resonance with string A?
 
Back
Top Bottom