Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

hahaha hakuna uchawi mkuu hapa utafanya freezing au unaweza ukapima ujazo wa ndo alafu unachukua ujazo wa maji na ndooo unatoa ujazo wa ndoo unapata ujazo wa maji tu


wew ngoja nikueleweshe katika physics maji ya baridi ni mazito kuliko maji ya moto (jaribu hata nyumbani kwenu kwa kuchukua ndoo mbili zenye maji tofaut ya moto na baridi) hivyo unapo freez mass ya maji itakuwa kubwa"

cha kufanya;


chukua maji ambayo unataka kuya pima(salt or pure water) weka kwenye ndoo bila ya ku_freez alafu pima kweny mizani unapata mass ya ndoo na maji,
then unapima ndoo peke yake

mwisho unachukua mass ya ndoo na maji unatoa mass ya ndoo peke yake. UNAPATA JIBU
 
wew ngoja nikueleweshe katika physics maji ya baridi ni mazito kuliko maji ya moto (jaribu hata nyumbani kwenu kwa kuchukua ndoo mbili zenye maji tofaut ya moto na baridi) hivyo unapo freez mass ya maji itakuwa kubwa"

cha kufanya;


chukua maji ambayo unataka kuya pima(salt or pure water) weka kwenye ndoo bila ya ku_freez alafu pima kweny mizani unapata mass ya ndoo na maji,
then unapima ndoo peke yake

mwisho unachukua mass ya ndoo na maji unatoa mass ya ndoo peke yake. UNAPATA JIBU

Mkuu ebu angalia maji ya kifreez hayawezi kuongezeka mass maana ni change of state only mkuu
 
Duuh tatzo watatak nxome nje ya nchi na mimi cpendelei hvo.. Bt thanks

tufuta taasisi unazoweza kuingia nazo mkataba kaa mashirika ya dini ili wakusomeshe baadaye ufanye nao kazi kwa mkataba ukimaliza unakunjuka kivyako

mkuu ishu sio gharama kwa advance unaenda private au gvt?

ingia website ya ubalozi wa japan kila mwaka kuna chance nyingi bahati mbaya watz hatujafanikiwa ku qualify zipo kibao ili mradi uwe na sifa



we should not go beyond the specified objective of the thread.
"education for mind/individual &national liberation" J.k. nyerere
 
Duuh tatzo watatak nxome nje ya nchi na mimi cpendelei hvo.. Bt thanks

kusoma nje ya nchi its good kama hiyo kozi kwa nje iko advanced kuliko hapa bongo kwa hiyo lakini hata hivyo sidhani kama kuna shirika litakalokubali kukusomesha nje kwa gharama kubwa wakati kozi hizo zinapatikana hapa
 
Mkuu ebu angalia maji ya kifreez hayawezi kuongezeka mass maana ni change of state only mkuu
Kwa kumbukumbu zangu yanachange mass kijanaa kama una vitabu tafuta mambo ya ANOMALOUS EXPANSION OF WATER
 
Kwa kumbukumbu zangu yanachange mass kijanaa kama una vitabu tafuta mambo ya ANOMALOUS EXPANSION OF WATER

Anamolous Exp inatokea Temp ikiwa -4Centrigrades.... kugandisha maji sio mpk yafike iyo temperature ya Anamolous hata 1Centrigaes ni msala mkuu na ndicho nilichokuwa naamanisha
 
Mpira umedondoshwa kutoka juu kimo cha mita 9 (tisa). Je, baada ya kudunda mpira huo utarudi juu kwa kimo gani?
 
mkuu unamaanisha aina za barua au muundo wa barua.kiuhalisia kuna aina nying sana za barua,kuna friendly letter/personal letter,official letter,letter to the editor na nyinginezo nying.lakin hizi barua zina miundo/muonekano wake katika uandishi,hii miundo ipo ya aina mbili kuna old formart na modern/block format.

Hakuna haja ya kuchanganya kiswahili na kingereza mkuu, muuliza swali kauliza kwa kiswahili, basi ni vizur majibu yote yakawa kwa kiswahili.
 
jadili falsafa ya maendeleo ya teknolojia kutokana na elimu.
 

Anamolous Exp inatokea Temp ikiwa -4Centrigrades.... kugandisha maji sio mpk yafike iyo temperature ya Anamolous hata 1Centrigaes ni msala mkuu na ndicho nilichokuwa naamanisha

Basi hapo Pima yakiwa katika chombo, baadae Pima chombo tupu af utoe uzito wa kwanza na wapili
 
Basi hapo Pima yakiwa katika chombo, baadae Pima chombo tupu af utoe uzito wa kwanza na wapili

Nilishasema hiyo mwanzoni mkuu na ndio njia iliyokuwa rahisi

hahaha hakuna uchawi mkuu hapa utafanya freezing au unaweza ukapima ujazo wa ndo alafu unachukua ujazo wa maji na ndooo unatoa ujazo wa ndoo unapata ujazo wa maji tu

 
Hey i have a quiz to ask why do pupils fail



you have a quiz?? , that is contemporary issue look om the situation you will gwt ansers,

it is not necessary to ask a question
 
Back
Top Bottom