Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

Jamani mi nataka kujua kwa mtu ambaye o'level amepata F ya math lakin masomo mengne yte ana B,B+ na C moja,, je Ananafac ya kusoma CBG/PCB huko A'level?

Combination inaruhusu,ila tia akili mwenyewe, combination zote kwa advance lazima usome na hesabu.( BAM) kwa hiyo kama unadhani hesabu ni tatizo.......bt atleast cbg ila pcb, physic na chem zinahesabu za kutosha.
 
Jamani mi nataka kujua kwa mtu ambaye o'level amepata F ya math lakin masomo mengne yte ana B,B+ na C moja,, je Ananafac ya kusoma CBG/PCB huko A'level?

Kwa serikali haiwezeani. Cha msingi nenda private @
 
Unalizunguamziaje swala mtikisiko wa uchumi wa ugiriki kama mwanaume.?
 
walimu naomba msaada jaman
napenda kujua juu ya uzazi wa kinyonga maana kuna nadharia nyingi za kusikia kama vile hubeba mimba na akizaa hufa muda mfupi tu mara baada ya kuzaa
 
ww unataka cbg kwan unataka kuwa nani? any way watu wengi wamekuwa waking'ang'ania kusoma combination kumbe hata ufaulu wao uanaweza kuwafikisha kule wanakotaka kwa njia lrahisi, mfano mtu anataka udaktari o'level kafaulu vizuri tu anaamini kuwa 4m six ndo mpango kumbe anaweza akapiga hata certificate then dip na kisha degree.

Lakini kwa kuwa mentality zetu tumezitune six haya bana unapiga mzunguko at the end of the day utabaki njia kuu, bora ukala boda boda mapema kwa kugonga certificate then diploma na kisha degree ni
ushauri wa bure kwa wanaoenda a'level.

Cha jabu mtu kafaulu vizuri tu o level lakini kachaguliiwa HGE kumbe angeeda certificate hata ya nursing ikamsaidia mapema kuliko kuja kuongeza utegemezi kwa taifa kusoma mikopo:boxing::boxing::boxing::boxing::msela::msela::msela:
 
SWALI HESABU;;;
Hivi lita moja ni sawa na kilo ngapi? na tunaconverte vipi?

Kama ni maj lita kumi ya maji ni sawa na kilo 10... ila upime wakati umeondoa ndoo utapata ujazo sahihi kwenye ujazo.
 
Sorry jamani,

Nlkuw naomba mxaada km kuna anayefaham site nzur z kuapply scholarship z ndan ya nje kwa ajili ya chuo mwaka huu anipatie au contacts za sponsor yyte ansaidie.

Asante
 
ww unataka cbg kwan unataka kuwa nani? any way watu wengi wamekuwa waking'ang'ania kusoma combination kumbe hata ufaulu wao uanaweza kuwafikisha kule wanakotaka kwa njia lrahisi,
mfano mtu anataka udaktari o'level kafaulu vizuri tu anaamini kuwa 4m six ndo mpango kumbe anaweza akapiga hata certificate then dip na kisha degree, lakini kwa kuwa mentality zetu tumezitune six haya bana unapiga mzunguko at the end of the day utabaki njia kuu, bora ukala boda boda mapema kwa kugonga certificate then diploma na kisha degree ni
ushauri wa bure kwa wanaoenda a'level,
caha jabu mtu kafaulu vizuri tu o level lakini kachaguliiwa HGE kumbe angeeda certificate hata ya nursing ikamsaidia mapema kuliko kuja kuongeza utegemezi kwa taifa kusoma mikopo:boxing::boxing::boxing::boxing::msela::msela::msela:

Wazee,nimepga O'level Last Year Na Ninampang Wa Kuw Dactari,na Kwenye Combination Ya PCB, Nina C,C,B.
Xa Napga Mahexab Hayaend,niende C.O Medical Au Advance?
Msaada Wako Tafadhali..
 
two yrs in advance ni kamali halafu gharama ya advance sawa na diploma co, wakati huku diploma una uhakika kwa hiyo bora usome diploma hiyo ya co kuliko advance, wakuu mi mtaniwia radhi mi tangu nione misukosuko ya shule kwa bongo nikaifunza bora usomee professional kuliko two yrs bila ujuzi
 
Kama ni maj lita kumi ya maji ni sawa na kilo 10... ila upime wakati umeondoa ndoo utapata ujazo sahihi kwenye ujazo

hahahaha wewe cc12 kuja hapa haraka sasa atawezaje kupima maji bila ndoo au ndo uchawi wa physics kugandisha maji hewani?.
 
Last edited by a moderator:
ww unataka cbg kwan unataka kuwa nani? any way watu wengi wamekuwa waking'ang'ania kusoma combination kumbe hata ufaulu wao uanaweza kuwafikisha kule wanakotaka kwa njia lrahisi,
mfano mtu anataka udaktari o'level kafaulu vizuri tu anaamini kuwa 4m six ndo mpango kumbe anaweza akapiga hata certificate then dip na kisha degree, lakini kwa kuwa mentality zetu tumezitune six haya bana unapiga mzunguko at the end of the day utabaki njia kuu, bora ukala boda boda mapema kwa kugonga certificate then diploma na kisha degree ni
ushauri wa bure kwa wanaoenda a'level,
caha jabu mtu kafaulu vizuri tu o level lakini kachaguliiwa HGE kumbe angeeda certificate hata ya nursing ikamsaidia mapema kuliko kuja kuongeza utegemezi kwa taifa kusoma mikopo:boxing::boxing::boxing::boxing::msela::msela::msela:

Mkuu tatizo ni gharama ..ndo tzo
 
hahahaha wewe cc12 kuja hapa haraka sasa atawezaje kupima maji bila ndoo au ndo uchawi wa physics kugandisha maji hewani?.


hahaha hakuna uchawi mkuu hapa utafanya freezing au unaweza ukapima ujazo wa ndo alafu unachukua ujazo wa maji na ndooo unatoa ujazo wa ndoo unapata ujazo wa maji tu.
 
Sorry jaman.. Nlkuw naomba mxaada km kuna anayefaham site nzur z kuapply scholarship z ndan ya nje kwa ajili ya chuo mwaka huu anipatie au contacts za sponsor yyte ansaidie.. Asante

ingia website ya ubalozi wa japan kila mwaka kuna chance nyingi bahati mbaya watz hatujafanikiwa ku qualify zipo kibao ili mradi uwe na sifa
 
tufuta taasisi unazoweza kuingia nazo mkataba kaa mashirika ya dini ili wakusomeshe baadaye ufanye nao kazi kwa mkataba ukimaliza unakunjuka kivyako
 
Duuh tatzo watatak nxome nje ya nchi na mimi cpendelei hvo.. Bt thanks
 
Back
Top Bottom