lamar dula
Member
- Aug 4, 2015
- 57
- 10
aisee unasoma chuo gani wewe? au ulimaliza mwaka gani?
kikanuni ndio hivyo huwezi pata chuo mapema hivyo. ila wapo wanachakachua utaratibu, hawaombi kupitia tcu tena bali wansomba nafasi chuoni moja kwa moja tena chuo cha.private, mfano si ajabu mtu kudisco MUHAS mwakani ukamkuta KIU. ukopo ukiendelea kuflow ujue kuna hujuma zinafanyika hapo.
Mm niko Udsm kuna jamaa alidisco pale UD mwak uliofat akaaply ardhi na mpak sas yupo hpo Anasoma sas Cjui Ww sheria hio ulickia Wap
Jamani samahani najua kabisa kuwa huenda si mahala pake lkn nauliza nini vigezo na hatua za kuanzisha Zahanati binafsi??
Jamani samahani najua kabisa kuwa huenda si mahala pake lkn nauliza nini vigezo na hatua za kuanzisha Zahanati binafsi??
Naomba kujua website inayoweza kutoa msaada wa masomo ya o level na mitihani niwweze kumsaidia binti wangu.
Pembetatu pacha, angle ya juu ndani ni thamani ya'y' na angle mbili za ndani chini ni pacha, pia angle ya nje upande wa pacha ni thamani ya'3y' tafuta thamani ya 'y'
Naomba kujua website inayoweza kutoa msaada wa masomo ya o level na mitihani niwweze kumsaidia binti wangu.
Naomba kujua website inayoweza kutoa msaada wa masomo ya o level na mitihani niwweze kumsaidia binti wangu.
Who is god?,and what is the purpose of us being here?