Jamani mi nataka kujua kwa mtu ambaye o'level amepata F ya math lakin masomo mengne yte ana B,B+ na C moja,, je Ananafac ya kusoma CBG/PCB huko A'level?
What Are The Importance Of EAC
Jamani mi nataka kujua kwa mtu ambaye o'level amepata F ya math lakin masomo mengne yte ana B,B+ na C moja,, je Ananafac ya kusoma CBG/PCB huko A'level?
SWALI HESABU;;;
Hivi lita moja ni sawa na kilo ngapi? na tunaconverte vipi?
ww unataka cbg kwan unataka kuwa nani? any way watu wengi wamekuwa waking'ang'ania kusoma combination kumbe hata ufaulu wao uanaweza kuwafikisha kule wanakotaka kwa njia lrahisi,
mfano mtu anataka udaktari o'level kafaulu vizuri tu anaamini kuwa 4m six ndo mpango kumbe anaweza akapiga hata certificate then dip na kisha degree, lakini kwa kuwa mentality zetu tumezitune six haya bana unapiga mzunguko at the end of the day utabaki njia kuu, bora ukala boda boda mapema kwa kugonga certificate then diploma na kisha degree ni
ushauri wa bure kwa wanaoenda a'level,
caha jabu mtu kafaulu vizuri tu o level lakini kachaguliiwa HGE kumbe angeeda certificate hata ya nursing ikamsaidia mapema kuliko kuja kuongeza utegemezi kwa taifa kusoma mikopo:boxing::boxing::boxing::boxing::msela::msela::msela:
Kama ni maj lita kumi ya maji ni sawa na kilo 10... ila upime wakati umeondoa ndoo utapata ujazo sahihi kwenye ujazo
ww unataka cbg kwan unataka kuwa nani? any way watu wengi wamekuwa waking'ang'ania kusoma combination kumbe hata ufaulu wao uanaweza kuwafikisha kule wanakotaka kwa njia lrahisi,
mfano mtu anataka udaktari o'level kafaulu vizuri tu anaamini kuwa 4m six ndo mpango kumbe anaweza akapiga hata certificate then dip na kisha degree, lakini kwa kuwa mentality zetu tumezitune six haya bana unapiga mzunguko at the end of the day utabaki njia kuu, bora ukala boda boda mapema kwa kugonga certificate then diploma na kisha degree ni
ushauri wa bure kwa wanaoenda a'level,
caha jabu mtu kafaulu vizuri tu o level lakini kachaguliiwa HGE kumbe angeeda certificate hata ya nursing ikamsaidia mapema kuliko kuja kuongeza utegemezi kwa taifa kusoma mikopo:boxing::boxing::boxing::boxing::msela::msela::msela:
hahahaha wewe cc12 kuja hapa haraka sasa atawezaje kupima maji bila ndoo au ndo uchawi wa physics kugandisha maji hewani?.
Sorry jaman.. Nlkuw naomba mxaada km kuna anayefaham site nzur z kuapply scholarship z ndan ya nje kwa ajili ya chuo mwaka huu anipatie au contacts za sponsor yyte ansaidie.. Asante
Mkuu tatizo ni gharama ..ndo tzo