Heron
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 1,946
- 1,800
Soma tena mchango wangu kisha tafakari zaidiUnaamini ktk nadharia ya uwepo wa wasiojulikana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma tena mchango wangu kisha tafakari zaidiUnaamini ktk nadharia ya uwepo wa wasiojulikana?
10:25am - July 30, 2019
TCRA wamekanusha kuhusika kwa namna yoyote na uzimwaji/ukatwaji wa mawasiliano ya simu ya Kabendera na kusisitiza kuwa wao wanahusika na kudhibiti simu zisizotakiwa (fake)
Sikuwahi kujua kama polisi sio serikali. Duuuuuh,nchi ina mapunguani hii
Punguani wa mapambio wako wapi?
CCM minions endeleeni kimwabudu Jiwe!
Wewe ni sehemu ya utekaji nini, hovyo, unawezaje kufurahia mambo ya hovyo kama hayo.Safi sana!
[emoji15][emoji15][emoji15] mbona unashindwa kuficha ujinga wako dada angu?
Mbona hata Magufuli amewahi kutamka kuwa sio mwanasiasa? Tena akiwa Rais?Mbona aliendaga kuchukua form ya ubunge kama sio mwanasiasa
for sure, kama mimi sasa voda natumia data tu, japo ttcl wana bando nzui lakini sipigi simu tena kwa voda wala kumzungumzia jiwe kwenye simuKwan hili Vodacom wameteleza Sana. Lakini Ni heri wamesema ukweli watu wajue nn kinaendelea....
kifo tayari ariInfact huo mchezo utaendelea mpaka litokee jambo litakalowafanya wapay the price ya matendo yao, nje ya hapo watateka waandishi, watateka wafanyabiashara,watateka wanazuoni, watateka viongozi wa dini, wakimaliza hapo watateka wapinzani wao!
Ni kama Shetani hivi aliyeachiwa lose, hawezi kukoma kusumbua mpaka itokee nguvu fulani ya kumdhibiti