Mwanahabari Sam Mahela alikwenda wapi na anafanya nini kwa sasa?

Mwanahabari Sam Mahela alikwenda wapi na anafanya nini kwa sasa?

Jamaa alipotea kizembe sana, ila CCM sio watu wazuri, na yule Spencer Lameck Sijui yuko wapi, ze comed walivyoenda ccm tu wakaishia hapo hapo, CCM ni chama cha kuua vipaji, sio kwenye siasa tu hata kwenye jamii ukijichanganya kipaji chako kinakufa
 
Yule anaitwa salumu maela. Amesoma shule flani iko nzega tabora. Miaka 1998 hiyo social media hakuwa na nguvu sana, lakini Jamaa alifahamika nzega kwa mambo ya upinde.
 
Huyu jamaa alionyesha dalili atafuka mbali sana.
Nadhani Kuna kitu kilitokea.
 
Back
Top Bottom