Hapo unatoa choo Cha aina gani poti?By the way.. Vitu kama hivi kwa dar au dodoma vinapatikana?View attachment 3150247
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unatoa choo Cha aina gani poti?By the way.. Vitu kama hivi kwa dar au dodoma vinapatikana?View attachment 3150247
Spencer yupo wasafi.Sam mahela na ndugu yake spencer lameck wote wanepotea baada ya uchaguzi wa 2015 kuisha
Mmmh ya kweli ayo???Mtu wa upinde 🏳️🌈 🌈 atakuwa Mombasa
Inasemekana kama Suphian Juma pia upinde 🏳️🌈 🌈 🏳️🌈Mmmh ya kweli ayo???
Spencer lameck ni wanted anatafutwa sana kwa utapeli ukimuona popote ni PM una million 20 yako ya fasta.Sam mahela na ndugu yake spencer lameck wote wanepotea baada ya uchaguzi wa 2015 kuisha
Hayupo wasafi huyo jambaziSpencer yupo wasafi.
Niliwasikia wanatambulishwa bungeni mwaka huu huu mwanzoni nadhani.Hayupo wasafi huyo jambazi
Nauliza vitu hivyo kwenye pichaunataka kusea nimechanganya kati ya sam mahela na ben mwanantala?
Wanaume wa Dar hawajui zaidi ya chipsi yai teketeke!!By the way.. Vitu kama hivi kwa dar au dodoma vinapatikana?View attachment 3150247
AiseeehAlianza kupotea baada ya zile tetesi kuwa jamaa mtoto wa watu
vipo pale kijiji cha makumbusho,kijitonyama jijini dar. Au nenda mlimani city kuna mgahawa wa vyakula vya asili ukiagiza utaletewaNauliza vitu hivyo kwenye picha
Atakuwa ndo huyu mleta madaKuna mtu ametoka kuniulizia hili swali leo asubuhi.