MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

Hapa Public inaandaliwa na Tsunami aliyoandaa Ben dhidi ya Chadema ili asiaminike mapema (hii ilifanywa kwa Dr Slaa na kupumbaza wengi) ...hii itakuwa hivi mkiona mwelekeo wa habari kutoka Mwanahalisi ukiwa wa kumchafua Ben ....Nahisi serikali na CCM wameamua kukaa kimya ili liwalipukie wenyewe ....
 
Niliwauliza hapa je akitokea na akakiri kuwepo kwenye mikono ya mtandao wa Mbowe je CDM mtasemaje na je bado mtaiamini CDM? KIMYAAAA mpaka sasa.
Ni kama "Tesha"
Hata Ben inadaiwa ni rafiki kipenzi wa Mwigulu Nchemba.
Tumeahabarishwa hayo na mwigulu himself.
 
Kwanza kwanini mnahoji mtu mzima kupotea ingekuwa mtoto sawa lakini sio huyo mpaka hapo tayari ni porojo za kisiasa.
 
Ngumu sana hii Nchi!!

Watu wenye akili na wasomi hawawezi kuishi hii nchi

Mfano ni Dr Slaa! Ndiyo maana hata Kikwete alikuwa ashindi Ikulu ya Dar

Kiufupi kuishi Tanzania unatakiwa uwe na Degree ya uwendawazimu! Tunaowatengemea watuvushe ndisho kwanzaa wanafanya mambo ya kikuda
 
m
Fakenews ishakuwa tatizo la kidunia.
Juzi hapa wakaandika fakenews kuwa waziri wa ulinzi wa israel ameionya pakstan kutopeleka askari wake syria kwa kisingizio chochote kile na ikifanya hivyo israel itailipua syria kwa nyuklia,


habari ni fake,sijui pakstan hawakujua kuwa ni fake,waziri wa ulinzi wa pakstan akajibu,hata wao wana silaha hizo za nyuklia.

Fakenews zinaweza kuleta madhara makubwa yasiyotarajiwa.

this is fakenews
Mkuu hii ni habari ya gazeti la mjumbe wa kamati kuu ya chadema...
 
Tunawaambia kila siku
Usishangae hata JF ipo kimya kuhusu member wake !!
Ajabu huyu jamaa inawezekana yupo humu humu akitumia Id nyingine
Ndio maana tunasema Mbowe anajua
Hizi ni kick zakipumbavu kweli!!!
Mjadala wa Huyu mtu ungefungwa tu
Maana hakuna lolote zaidi ya kucheza mchezo mchafu
Mbowe anajua Ben saanane alipo.
 
Ngumu sana hii Nchi!!

Watu wenye akili na wasomi hawawezi kuishi hii nchi

Mfano ni Dr Slaa! Ndiyo maana hata Kikwete alikuwa ashindi Ikulu ya Dar

Kiufupi kuishi Tanzania unatakiwa uwe na Degree ya uwendawazimu! Tunaowatengemea watuvushe ndisho kwanzaa wanafanya mambo ya kikuda
Wasomi ni watumwa wa wanasiasa-Joh Makini
 
hahaha ndio maana cheki bob Mbowe kakaa kimya kabisa...
 
wana
daaaah....Unakata mti unatengeneza karatasi then unaandika gazeti la namna hii.....Ni mara mia bora huo mti ungeachwa tumbili waning'inie watalii waje tupate pesa za kigeni......
daaaah....Unakata mti unatengeneza karatasi then unaandika gazeti la namna hii.....Ni mara mia bora huo mti ungeachwa tumbili waning'inie watalii waje tupate pesa za kigeni......
daaaah....Unakata mti unatengeneza karatasi then unaandika gazeti la namna hii.....Ni mara mia bora huo mti ungeachwa tumbili waning'inie watalii waje tupate pesa za kigeni......
MwanaHalisi ni Gazeti la udaku la masuala ya Kisiasa
 
Ngumu sana hii Nchi!!

Watu wenye akili na wasomi hawawezi kuishi hii nchi

Mfano ni Dr Slaa! Ndiyo maana hata Kikwete alikuwa ashindi Ikulu ya Dar

Kiufupi kuishi Tanzania unatakiwa uwe na Degree ya uwendawazimu! Tunaowatengemea watuvushe ndisho kwanzaa wanafanya mambo ya kikuda
Degree za uwendawazimu zinapatikanaje mkuu?
 
Back
Top Bottom