MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Ukiwa Nyumbu unakaribia kuhitimu mkuu ...Degree za uwendawazimu zinapatikanaje mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa Nyumbu unakaribia kuhitimu mkuu ...Degree za uwendawazimu zinapatikanaje mkuu?
chadema kwisha kwisha kabisaaaSasa nimeamini Ben kajiteka
huyu kijana jipya,na hii stori itamfanya asiaminike tenaHii ishu ya huyu kijana ni kuipotezea tu kama wafanyavyo serikali kwani hii ni Ze Comedy isiyokuwa na faida kwa taifa. Mtu kajificha mwenyewe kisha anataka atafutwe, kwa msingi upi?
Unataka wafungiwe tena?Mwanahalisi lina uwezo
Si lilifichua mawasiliano ya Dr kabla ya kutekwa je mawasiliano ya Ben kabla ya kupotea hawawezi kuyapata kama walivyopata ya Dr
Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.
======
UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).
Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.
Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”
Ben ajajuteka Bali ben kajificha kwa kutafuta kiki na covarege ya cdm iwe kwenye media mda wrote na ndio mchezo tuluokua tunafanya enzi hizo nipo matesoni cdmSasa nimeamini Ben kajiteka
Mnataka ahojiwe muanze kubinua midomo..."uhuru wa habari unaminywa"...chadema ni kikundi cha wahalifu ona sasa mnavyoumbuana.Natarajia Polisi kumhoji Mhariri wa hili gazeti na asipohojiwa basi kila mtu ajiongeze kupata majibu.
hamna haja ya kuhojiwa usanii wa kisiasa tu huiNatarajia Polisi kumhoji Mhariri wa hili gazeti na asipohojiwa basi kila mtu ajiongeze kupata majibu.
Huku akina Malisa wameshaanza kuwakamua wajinga kwa kuwauzia fulana.Kuna baadhi ya mbinu lazima mzifahamu kindakindaki
Bado Upumbav u uleule wa kuhisi.eti nahisi.hii nchi ndiyo maana maskiniHapa Public inaandaliwa na Tsunami aliyoandaa Ben dhidi ya Chadema ili asiaminike mapema (hii ilifanywa kwa Dr Slaa na kupumbaza wengi) ...hii itakuwa hivi mkiona mwelekeo wa habari kutoka Mwanahalisi ukiwa wa kumchafua Ben ....Nahisi serikali na CCM wameamua kukaa kimya ili liwalipukie wenyewe ....
Fakenews ishakuwa tatizo la kidunia.
Juzi hapa wakaandika fakenews kuwa waziri wa ulinzi wa israel ameionya pakstan kutopeleka askari wake syria kwa kisingizio chochote kile na ikifanya hivyo israel itailipua syria kwa nyuklia,
habari ni fake,sijui pakstan hawakujua kuwa ni fake,waziri wa ulinzi wa pakstan akajibu,hata wao wana silaha hizo za nyuklia.
Fakenews zinaweza kuleta madhara makubwa yasiyotarajiwa.
this is fakenews
Mwanahalisi ForumBado nina kumbukumbu ya Ben na mwanzilishi wa mtandao wa ******************** wakati fulani; kisa eti "alishawishiwa" kutumia mtandao huo zaidi. ******************** ilikuja kuwa mbadala wa JF kwa kupanua uhuru wa kutoa maoni. Sijajua kwa sheria ya mtandao ya sasa mtandao huo unatimizaje azma yake hiyo.
=======
Taarifa hii kama ina ukweli, basi nadhani ni dalili za mtu kuandaa utaratibu wa kubadili staili ya maisha yake.
Hahaa leo unataka polisi ifanye kazi yake?Natarajia Polisi kumhoji Mhariri wa hili gazeti na asipohojiwa basi kila mtu ajiongeze kupata majibu.