MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

Hatutaki propaganda kama anaonekana wanashindwa vipi kumsalimisha police basi hata kumpiga picha wanashindwa vipi
 
Naona kama sirikali wanajua kitu kuhusu alipo Ben!! Napita tu
 
Ninachokina ni kichokonoa habari tu ilikuvuta hisia za wengi na kutaka kufuatilia hii habari katika gazeti la mwanahalisi hivyo HATUWEZI kukomaa na hicho kichokonoa habari tena kinachoonyesha kimechukulia kutoka katika maoni ya mtu ambaye ni mjumbe wa kamati kuu CDM na kuifnaya sasa ndio habari kamili.Hapa naona kwangu ni mchezo tu wa kuvuta wasomaji na kuwajengea shauku ili wanunue gazeti na walisome kisha humo kwenye habari kamili ndio ilipaswa watu wajenge hoja siyo kwenye hiki kilicholetwa kama kichokonoa habari na ambacho hata hivyo kinaacha maswali mengi kuliko majibu na kimekaa kimtego zaidi
Hili ni pigo na anguko kwa chadema.
 
Hivi mtu akijalibu kujiuwa na akifikishwa mbele sheria si anahukumiwa kwa kujaribu kujiuwa??

Na vipi kwa mtu kama.benn sanane,akijipoteza,my b ikawa akajiteka..sasa akija jitokeza na pia anahukumiwa kwa kujiteka??

Binafsi km.kweli analandalanda mtaan,polisi wamefanya msako hamjapata,mzazi nusura afe kwa bp,tumepoteza muda mwingi jf,fb nk kumjadili...km yupo wima afunzwe adabu

Utani mwingine sio kabisaa
 
aisee vipi Ben chali yangu, unajitokeza kabla hata hatujauza Tshirt fresh
 
Hata Sokoine yasemekana alikuwa akionekana ofisini kwake baada ya kifo chake miaka hiyo tuliadithiwa...

Pia tukaambiwa uzushi kuwa simu ya Kanumba huwa ukipiga inaita tu lakini haipokelewi tuliambiwa kwenye tigo pesa ukituma zinatolewa😀
Ww jamaa bhana kavu Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah.... Isijekuwa Dr Said naye anahamu ya kukaa ndani.... siku nyingi hajasikika... tokea kaka Paul aongezewe nyota[emoji12] [emoji12]
 
Hivi mtu akijalibu kujiuwa na akifikishwa mbele sheria si anahukumiwa kwa kujaribu kujiuwa??

Na vipi kwa mtu kama.benn sanane,akijipoteza,my b ikawa akajiteka..sasa akija jitokeza na pia anahukumiwa kwa kujiteka??

Binafsi km.kweli analandalanda mtaan,polisi wamefanya msako hamjapata,mzazi nusura afe kwa bp,tumepoteza muda mwingi jf,fb nk kumjadili...km yupo wima afunzwe adabu

Utani mwingine sio kabisaa

HAHAHAHAHAHAHAHhhhahhhhhaahahah UMETISHA 😵😵😵😵
 
Back
Top Bottom