MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

MwanaHalisi ladai Ben Saanane huonekana kwa jamaa zake

Hii ishu ya huyu kijana ni kuipotezea tu kama wafanyavyo serikali kwani hii ni Ze Comedy isiyokuwa na faida kwa taifa. Mtu kajificha mwenyewe kisha anataka atafutwe, kwa msingi upi?
 
Acha matusi. Kwanini maswali hayo isiyaelekeze kwa mwana-Chadema mwenzenu, Saed Kubenea, ambaye gazeti lake la Mwanahalisi ndio limeandika hayo? Unaibisha? Soma hapa Utata mpya msaidizi wa Mbowe
Kiongozi kama nimekukwaza tusameheane, ni upuuzi kujificha au kufichwa kwa sababu ya political platform,huku kila mtu akisema la kwake.
Kama Ben kajiteka basi anasafari ndefu,halafu gazeti linatuambia habari kamili mpaka jumatatu kulikuwa hamna haja kuja na habari nusu nusu.
Umesahau gazeti la Habari Leo lilivyosema Serikali yamwaga ajira wakati za kuteuliwa,Ngoja tusubiri jumatatu na polisi nao wanaweza kuanzia hapo kama muda wote walishindwa pa kuanzia.
 
Ishu ya Ben Saanane inaweza kuwa ni Self imposed exile baada ya kuona hatari fulani ya kukamatwa kwa uchochezi mitandaoni
Kuna baadhi ya mbinu lazima mzifahamu kindakindaki
Kama ni kweli, Sipati picha kwa watokwa povu wa CDM,

Basi ...kama imetoka mwanahalisi ...utajua mkakati uliopo ....

Gazeti na huyo mwanakamati kuu wa Chadema waisaidie polisi ili kuondoa sintofahamu hii.
 
1482931074799.png
1482931080909.png


The screenshot.
 
Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.

======

UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).

Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.

Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”
Hii habari inabidi kusoma article kamili. Uzi wako hauleti maana kabisa. Serikali imeshindikana vipi kumkamata?
 
MwanaHalisi ni Gazeti la udaku la masuala ya Kisiasa
ni kweli unachokisema mkuu, kuna mtu humu alishawahi kuwa kuna magazeti anayachukia kiasi kwamba hata akiletewa maandazi yamefungwa ndani ya magazeti hayo hawezi kula hayo maandazi....kila siku nazidi kuiamini hii kauli
 
Tunawaambia kila siku
Usishangae hata JF ipo kimya kuhusu member wake !!
Ajabu huyu jamaa inawezekana yupo humu humu akitumia Id nyingine
Ndio maana tunasema Mbowe anajua
Hizi ni kick zakipumbavu kweli!!!
Mjadala wa Huyu mtu ungefungwa tu
Maana hakuna lolote zaidi ya kucheza mchezo mchafu
ben kama alijiteka basi atakuwa amejiua mwenyewe kisiasa
 
Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.

======

UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).

Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.

Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”
Kijana wa kichaga huyo
 
Back
Top Bottom