Kajirutaluka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 1,224
- 995
Akamatwe mara moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa na jumatatatu kasisitiza watatoa habari zaidi...mhariri lazima ahojiwe kwa vyovyote vile
Utata mpya msaidizi wa MboweAngetuwekea gazeti tulisome na siyo habari ya kufikirika.
Kiongozi kama nimekukwaza tusameheane, ni upuuzi kujificha au kufichwa kwa sababu ya political platform,huku kila mtu akisema la kwake.Acha matusi. Kwanini maswali hayo isiyaelekeze kwa mwana-Chadema mwenzenu, Saed Kubenea, ambaye gazeti lake la Mwanahalisi ndio limeandika hayo? Unaibisha? Soma hapa Utata mpya msaidizi wa Mbowe
Anatakiwa kuweka gazeti, vinginevyo akasaidie polisi.
Nimecheka sana!!!!daaaah....Unakata mti unatengeneza karatasi then unaandika gazeti la namna hii.....Ni mara mia bora huo mti ungeachwa tumbili waning'inie watalii waje tupate pesa za kigeni......
Kuna baadhi ya mbinu lazima mzifahamu kindakindakiIshu ya Ben Saanane inaweza kuwa ni Self imposed exile baada ya kuona hatari fulani ya kukamatwa kwa uchochezi mitandaoni
Kama ni kweli, Sipati picha kwa watokwa povu wa CDM,
Basi ...kama imetoka mwanahalisi ...utajua mkakati uliopo ....
Gazeti na huyo mwanakamati kuu wa Chadema waisaidie polisi ili kuondoa sintofahamu hii.
Hii habari inabidi kusoma article kamili. Uzi wako hauleti maana kabisa. Serikali imeshindikana vipi kumkamata?Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.
======
UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).
Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.
Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”
chadema wazee wa kiki!hahahaha huu ni ushahidi mwingine kuwa ni wazi Mbowe anajua alipo Ben ndio maana ana ona anyamaze...
ni kweli unachokisema mkuu, kuna mtu humu alishawahi kuwa kuna magazeti anayachukia kiasi kwamba hata akiletewa maandazi yamefungwa ndani ya magazeti hayo hawezi kula hayo maandazi....kila siku nazidi kuiamini hii kauliMwanaHalisi ni Gazeti la udaku la masuala ya Kisiasa
ben kama alijiteka basi atakuwa amejiua mwenyewe kisiasaTunawaambia kila siku
Usishangae hata JF ipo kimya kuhusu member wake !!
Ajabu huyu jamaa inawezekana yupo humu humu akitumia Id nyingine
Ndio maana tunasema Mbowe anajua
Hizi ni kick zakipumbavu kweli!!!
Mjadala wa Huyu mtu ungefungwa tu
Maana hakuna lolote zaidi ya kucheza mchezo mchafu
article kamili hii hapa nanhakuna zaidi ya hapoHii habari inabidi kusoma article kamili. Uzi wako hauleti maana kabisa. Serikali imeshindikana vipi kumkamata?
Kijana wa kichaga huyoSioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.
======
UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa masuala ya siasa wa mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe sasa unazidi kuongezeka. Wanaandika Waandishi Wetu …. (endelea).
Taarifa zinasema Saanane ambaye haonekani nyumbani wala kazini, anaonekana kwa marafiki zake mitaani. Mjumbe mmoja wa Kamati Kuu (CC) ya Chadema amesema, “Nina wasiwasi kama siyo mkakati binafsi wa kisiasa.
Kijana Saanane amekuwa akionesha kutaka kukwea madarakani haraka hata nje ya taratibu. Tafuteni tu mtaona.”
Gazeti la mbunge wa chadema asiye mdini wala mkabila mwenye akili na atambueNatarajia Polisi kumhoji Mhariri wa hili gazeti na asipohojiwa basi kila mtu ajiongeze kupata majibu.