Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee kunguni usifananishe kuanguka kwa maembe mtini na kuanguka chama kikubwa kama chadema.Hili ni pigo na anguko kwa chadema.
Picha linaendelea!!Duh! Epsode three
Hahaaa! eti panda bangiTUKIENDELEA KUWA NA WAHARIRI KAMA HUYU NI BORA TUANZE KAMPENI YA KATA MTI PANDA BANGI
Umenikumbusha mbali sana mwandishi mchunguzi aliyesoma hapa na paleMzee wa elimu ya hapa na pale.
Natarajia Polisi kumhoji Mhariri wa hili gazeti na asipohojiwa basi kila mtu ajiongeze kupata majibu.
Umeamka nazo? Kubenea atumiwe na serikali? Mshaanza kutuhumiana? Ama kwa hakika ushirika wa wachawi haudumuWasije tu kuwa washamfukia mtoto wa watu,halafu wanaanza kuja na story za ben anaonekana mahali fulani ili kuua soo.
Huyo mhariri anatakiwa awe anahojiwa mida hii kiufasaha.
Jf ina watu laki 3 na wametapakaa kona zote,Ben hawezi akaonekana kitaa bila kuonwa na member wawili watatu na wakaja kucofirm humu
Chama kikubwa ambacho kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana kilikosa mgombea hadi ikabidi kisubiri makapi ya CCM, na makapi yenyewe mtu ambaye CHADEMA ilimwita baba la mafisadi kwa miaka tisa mfululizo. Nyie hamna maana kabisa.Wee kunguni usifananishe kuanguka kwa maembe mtini na kuanguka chama kikubwa kama chadema.