Lakini sii mnaona alivyo wafanya na tena bila wizi wa kura mpaka saizi ccm ingekuwa inapumulia mashine.Chama kikubwa ambacho kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana kilikosa mgombea hadi ikabidi kisubiri makapi ya CCM, na makapi yenyewe mtu ambaye CHADEMA ilimwita baba la mafisadi kwa miaka tisa mfululizo. Nyie hamna maana kabisa.
Point ya kufungia mwakaMi nahisi Ben atakuwa anasoma hizi posts zetu na kucheka tu jinsi hichi kizazi kinavyopoteza muda kwenye mitandao.
endelea kupinga ukweli tu.Chadema inaanguka.Wee kunguni usifananishe kuanguka kwa maembe mtini na kuanguka chama kikubwa kama chadema.
Acha umburula wewe!!! Siko na info ulizoona za Kubenea! Niko na system inayojipendekeza kw mfalme alieambiwa PhD yake fake ato hadharani aseme na ajibu hapa tuhuma dhidi yake............andiko lake linamilikiwa na mtu mwingine ambae ndio wanadai lake sio yeye!!!(kutoa kutu kwa kutumia maganda ya korosho).....sio andiko lake.......hilo ndio limemfanya wamempoteza tunaju amefichwa sehemu tu ambapo haoni jua wala usiku.....ni taaa tuu wana toture kisaikolojia! Tunajua!!!!! Acha umburulaAcha uzembe. Kubenea anayemiliki gazeti la Mwanahalisi ni mtu wa sirikali?
Na nyie wazee wa kula rambi rambichadema wazee wa kiki!
Kamuulize Tyson atakupa ushuhuda.endelea kupinga ukweli tu.Chadema inaanguka.
Wachaga kwa kuendekeza uwizi kila wao ufikiria kuiba tu. Mnamwiiba mpk kijana wenu Ben SaananeLakini sii mnaona alivyo wafanya na tena bila wizi wa kura mpaka saizi ccm ingekuwa inapumulia mashine.
Hivi rambirambi ya mjane wa Alphonse Mawazo mlishampelekea Zile 100milioni tuliyomchangia?Na nyie wazee wa kula rambi rambi
Hivi rambirambi ya mjane wa Alphonse Mawazo mlishampelekea Zile 100milioni tuliyomchangia?
Jibu swaliMliyomchangia na nani ilhali nyie ndiyo mliowalipa wauaji? Tuondolee ushetani wako hapa
Jibu swali
Kuzuia mikutano ya kisiasa haimanishi kwamba chadema mdio imeisha kufa. Kutok mwaka 1992 chadema inafanya mikutano ya kisiasa. Na watu chama wameisha kielewa eti leo ccm ije izuie mikutano ya kisiasa halafu itegemee chama kitakuja kufa. Huo kama sio upumbavu ni nini.endelea kupinga ukweli tu.Chadema inaanguka.
Unapo shangaa kwa mwenzako kunavyo ungua basi ujue kwako ndio kunateketea.Wachaga kwa kuendekeza uwizi kila wao ufikiria kuiba tu. Mnamwiiba mpk kijana wenu Ben Saanane
UmeshindwaHakuna swali hapo naona unaweweseka tu na mimi sijibu mihemko.
Kwani chadema ni Chama Cha siasa?Kuzuia mikutano ya kisiasa haimanishi kwamba chadema mdio imeisha kufa. Kutok mwaka 1992 chadema inafanya mikutano ya kisiasa. Na watu chama wameisha kielewa eti leo ccm ije izuie mikutano ya kisiasa halafu itegemee chama kitakuja kufa. Huo kama sio upumbavu ni nini.
Kwani ww unajua ni chama cha nini?Kwani chadema ni Chama Cha siasa?