Pre GE2025 MwanaHalisi: Siri yavuja, Watatu Wajipanga Kugombea Urais 2025 kupitia CCM, Katiba ya Chama chao yawaruhusu

Pre GE2025 MwanaHalisi: Siri yavuja, Watatu Wajipanga Kugombea Urais 2025 kupitia CCM, Katiba ya Chama chao yawaruhusu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ma
Labda hizo sifa unatoa wewe. Watanzania wanaopiga kura wanamuona anatufaa. Hivi we jamaa umewahi kwwndaTandahimba, Newala, Nanyamba, Liwale, Mama, Mangaka, Masasi.....!! Yaani huko kura zote ni za Mama Samia
Mama alishasema anapumzika 2025. Pia baada ya wananchi kupiga kura ndio mshindi atajulikana. Hizo kura zinazojulikana kwa sasa kuwa ni za nani zimetoka wapi?
 
Ma

Mama alishasema anapumzika 2025. Pia baada ya wananchi kupiga kura ndio mshindi atajulikana. Hizo kura zinazojulikana kwa sasa kuwa ni za nani zimetoka wapi?
Basi tulizeni bolu, msubiri mwakani. Maana mshaanza kuweweseka
 
Ma

Mama alishasema anapumzika 2025. Pia baada ya wananchi kupiga kura ndio mshindi atajulikana. Hizo kura zinazojulikana kwa sasa kuwa ni za nani zimetoka wapi?
Alikuambia wapi anapumzika da mmaroroi acha umbea🤣🤣🤣
 
Kama

Kama CCM wanataka ya BDP yasijirudie kwao, basi wanapaswa kutuletea mtu "competent" kweli kweli mwenye kukubalika kwa wengi, vinginevyo wataangukia pua!
Wananchi wengi kwa sasa ni kama wamekata tamaa ya maisha
La sivyo Mbowe ni competent? Acha masihara basi Burkinabe!
 
Alikuambia wapi anapumzika da mmaroroi acha umbea🤣🤣🤣
Alisema na gazeti la Mwananchi lilinukuu labda kama kuna mabadiliko. Nyie ndiyo mnamshinikiza ila Mama yeye anataka apumzike 2025 baada ya kuifanyia mengi Nchi hii na umri wake umeenda anapendelea kupumzika Siasa.
 
Mgombea ndiye huyo huyo mwenyekiti, watapita wapi?
 
Mwendelezo wa Maigizo au wanatingisha kiberiti ili wapangiwe kazi maalumu...

Haya Maigizo ya Demokrasia wakati ni far from it, yanamaliza bure Kodi zetu...
 
Hii habari itakuwa ni muendelezo tuu wa habari uongo na uzushi wa Kube na gazeti lake la Mwanahalisi kama ule uzushi wa kumhusu Ben Saanane!.
Hakuna mwana CCM mwenye akili timamu, anaweza kuuwazia urais wa 2025 kwasababu kwa mujibu wa utaratibu wa ki CCM, uchaguzi wa 2025 ni uchaguzi wa mserereko, inachapishwa fomu moja tuu ya urais kwa ajili ya rais aliyepo madarakani!.

Hivyo mwana CCM yeyote anayeuwazia urais wa 2025, huyo atakuwa sii mzima!, uless kama sauti HII ni ya kweli!.

P
Tujiulize ikiwa aliyepo madarakani yupo Kwa

1. kupigiwa kura au

2. kifo Cha mtangulizi.

Ikiwa sababu ni namba 1, sawa,

Lakini ikiwa sababu ni no2, mchujo wa wazi kabisa ufanyike kabla ya kuipeleka bidhaa Kwa walaji ( wananchi).

Utaratibu wa fomu Moja Kwa mgombea aliyepata madaraka sababu ya kifo Cha mtangulizi ni udhaifu Fulani unafichwa.
 
Tunapoteza nguvu nyingi sana kupiga ramli. Ki ufupi Rais SSH atagombea 2025.

Suala la mchakato wa kura za maoni halina tija sana, angalia Marekani jinsi chama cha Democrat kilimpendekeza makamu wake wa rais Kamala Harris agombee baada ya Rais Biden kutangaza hatogombea na kumuunga mkono makamu wake. Hakuna mchakato wowote uliofanyika kumpata mgombea wa uraisi kama ilivyozoeleka.
Ikiwa HOJA Yako Ina mashiko, Haris atashinda,

Ikiwa HOJA Yako Ina walakini, kuacha kufanya mchakato kumpata Harris kukipelelea Trump kushinda,

Basi jua huku pia, ssh akilazimisha kugombea, hatoshinda,

Upinzani utachukua ushindi Kwa mara ya kwanza.
 
Si lazima wagombee kupitia CCM.

CCM ina ytaratibu zake na inaweza kuamuwa ni nani agombee na nani asigombee kupitia kwao.

Kama unabisha muuliza Slaa.
CCM hakikuwahi kufiwa Rais akiwa madarakani,

Sasa huo Utaratibu ni mpya,

Mchujo ni lazima.
 
CCM hakikuwahi kufiwa Rais akiwa madarakani,

Sasa huo Utaratibu ni mpya,

Mchujo ni lazima.
magufuli likufa akiwa nje ya madaraka?

Vipi chadomo, mpaka mwenyekiti mbowe afie madarakani siyo?
 
Back
Top Bottom