thadayo
Senior Member
- Jan 28, 2023
- 183
- 175
Inahusiana na nn?Mbowe anaachia lini uwenyekiti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahusiana na nn?Mbowe anaachia lini uwenyekiti?
Hivi kipo cha kuwafanya Chadema wamuogope mama? Ni kipi zaidi ya dola na mbeleko ya katiba mbovu?CHADEMA mnahangaika sana na kuteseka kama wagonjwa .Mnamuogopa Sana Rais Samia maana mnajuwa kuwa hamna ubavu wala uwezo wa kushindana naye katika sanduku la kura hapo mwakani.
Fomu ya Urais ndani ya CCM ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.View attachment 3139486
Si lazima wagombee kupitia CCM.Kwa nini mtoe form moja? Wengine hawana haki ya kugombea?
Hiyo dola iko wapi?Hivi kipo cha kuwafanya Chadema wamuogope mama? Ni kipi zaidi ya dola na mbeleko ya katiba mbovu?
Tunaongozwa kwa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo mserereko sio sheria, ni taratibu zetu tuu za ki CCM.Weka kifungun cha Katiba ya CCM inayosema hiyo. Wewe ni Mwanasheria usipotoshe, ni kuna mazoea yanayoweza kuwa sheria. CCM inafuta Katiba kupata wagombea wa Urais na si ushabiki au mazoea. Hakuna cha Fomu moja, kila mwenye sifa Katiba ya CCM inamruhusu kugombea.
Unasifia mpaka unamwaribia unayemsifia. Reference ni 2mbili,CHADEMA mnahangaika sana na kuteseka kama wagonjwa .Mnamuogopa Sana Rais Samia maana mnajuwa kuwa hamna ubavu wala uwezo wa kushindana naye katika sanduku la kura hapo mwakani.
Fomu ya Urais ndani ya CCM ni moja tu kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.View attachment 3139486
Mayalla umekengeukaTunaongozwa kwa katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo mserereko sio sheria, ni taratibu zetu tuu za ki CCM.
Kila chama kiko huru kujiwekea taratibu zake, fomu moja ndio utaratibu wa CCM midways
P
Labda hizo sifa unatoa wewe. Watanzania wanaopiga kura wanamuona anatufaa. Hivi we jamaa umewahi kwwndaTandahimba, Newala, Nanyamba, Liwale, Mama, Mangaka, Masasi.....!! Yaani huko kura zote ni za Mama SamiaKwa hiyo kama hana sifa lazima aongoze misimu miwili?
Bagonza anamuwakilisha nani?Shoo hana anayemwakilisha
Nani kasema Chadema inataka msaada?Hii inaisaidiaje Chadema?
Kwenye nini?Bagonza anamuwakilisha nani?
Kwani humsikii anavyojisemesha huko?Kwenye nini?
Kama chadema hawajawahi kushika dola huwezi linganisha na ccm, maana chadema wako kwaajili ya kutafuta, walishajifuza kupitia hawa, nccr-mageuzi, tpl, na cuf, ??Najuwa ila nimesema hizi taasisi zote hakuna wa kumyoshea kidole mwenzake japo CCM wana nafuu wao wamesema wazi sisi hizi ni tamaduni zetu kumpa mwenyekiti nafasi mara 2 akimaliza basi lakini wengine huko hakuna tamaduni wala limit