Mwanaharakati Albanie Marcossy atoweka kunusuru maisha yake

Nchi ya hovyo sana hii_mtu msema kweli ndio anageuka adui wa kuwindwa,....i wish kama ningekuwa mchawi ningemroga mkw..ere na familia yake yote.
 
uwa anawashirikisha kile kikundi chake cha watalaamu wa kung'oa meno kwa koleo bila ganzi,kung'oa kucha,kukata vidole na kupasua macho
 
Ohoo!kwa hiyo wameamua kumtisha kila anaeonekana yupo kinyume na watawala wa tz?hii sasa ni vita,tena vita kubwa ambayo wanaharakati wote wasipoungana na kuwashinda hawa wadhalimu 2015 itakua kazi kubwa kuubadilisha huu utawala ulioshindwa kuwaletea wananchi wake kwa zaidi ya miaka 50...watu kama akina R.MKINGA inabidi wawe makini maana hali imeshakua tete...Hata Kubenea kama sio kumziba mdomo kwa kulifungia gazeti lake ungekuta alishawahishwa GUANTANAMO.any way ,haya yote lazima yatokee ili ule mwisho uje.R.I.P CCM
 
Kumbe hii ndiyo amani iliyokuwa ikihubiriwa ..Nape alisema kamwe chama chake hakitatoka madarakani kwa sababu yoyote ile
 
Hata mimi nafutwa sana ila nataka kuwa akikishia hawata weza kunifanya kama ulimboka na kibanda,mimi ndiye ntawafanya vibaya na nta waua mmoja baada ya mwingine.


heshima yako mkuu!
 
Huyu jamaa mbona jana nilimuona konA baa analewa sana tuuu acheni uzushi
 
Kaka utawala wa jk nu wakipumbavu unampatia cheo cha bure hakuna lolote analoweza kufanya kachelewa sana
 
Tuombe Mungu asije akawa amepelekwa Msitu wa Mabwepande.
Na mimi nimewaza hivyo. Kwamba wasije watu wakawa wanasema amejificha kumbe tayari keshatekwa na kuuawa huko. maana hali ya Tanzania kwa sasa ni hatari tupu.
 
Tanzania sio sehemu salama tena kwa watu wanaotetea haki za wanyonge, mambo hayo yatawakumba wengi tusishangae kusikia kina kibamba, mnyika,tundu lissu, na hata filip kunjombe yakawakuta haya. Serikali ya jk ni hatari na dhaifu kwa kuwalinda watanzania kuliko mnavyojua!
 

acha kujenga bifu na waislam wewe. mbona majina ya wakristu huyasemi
 
Tuombe Mungu asije akawa amepelekwa Msitu wa Mabwepande.

Hawachelewi kuokota maiti ya mtu aliyeuawa kwa kitu chenye ncha kali!!

Hivi huyu mzee anaipeleka wapi hii nchi jamani? Hivi wa-TZ hatuwezi kufanya kitu hii makitu ikakoma? Kwa nini na sisi raia tusiunde jeshi letu huru tukawa tunachomoa mmoja mmoja? Tumb..ff kabisa hawa jamaa!!
 
Huyu jamaa hawezi kupelekwa magwepande jamaa ni USALAMA WA TAIFA asilimia 100 .....angalia JF msiingie mkenge kwa huyu. mmeshawahi kujiuliza kwanini aliondoka LHRC??? la kuambiwa changanya na lako.
 
Hii haiwezi kua kawaida ya watanzania., hatutaki uchafu wa namna hii. Hili lazima lifikishwe mwisho!.
 
acha kujenga bifu na waislam wewe. mbona majina ya wakristu huyasemi

Mkuu mbona povu kiasi hicho?

Acha udini basi!!! Kwani hapo juu hujaona jina la Jack Zoka? Au naye ni Muislam? Una uhakika gani Suleiman Kova ni Muislam? Maana hata wakristu nao wana jina la Suleiman.
 
Kafichwa makusudi na Lwakatare ili nchi isitawalike.

Watatajana mpaka kieleweke

Wewe hebu ongea issue za maana. Watu wanaongelea usalama wa raia, wewe unaleta porojo. Kama huna cha kuandika, nyamaza kimya. Tulia kabisa. Soma michango ya wenzako.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…