Pre GE2025 Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ngoja tuone mwisho wao
 
Nairobi sio ya mchezo
Unatekwa asubuhi tu tena katikati ya jiji
Linaweza kuwa mambo ya siasa na pia inaweza kuwa watekaji hata hawamjui ni nani bali randomly tu
Unawekea bastola kiunoni halafu wanaondoka na wewe hata kama umetoka kutoa hela
Tuombe sana kwenye dunia hii maana njaa imezidi pia
 
Jesus! Kwanini alienda Kenya! Mi huwa nafikiri anaishi Ulaya? Hakuona jinsi KiiZa besigye,alivyochukuliwa kikimandoo na ma spy wa Museveni,?!
Huo ndio mwisho, sasa hv huko alipo, atakuwa anaimba kama kasuku, atatendewa vitendo vya udhalilishaji, atatoa Siri zote,
Taasisi pekee ya kuweza kumuokoa, ni US Embassy, au umoja wa Ulaya!
 
Kizza Besigye alitekwa na vijana waliotmwa na Museven, hakuna cha ajabu hapo, wote wanashirikiana na intel za Kenya wanajua kinachoendelea.
 
Hata mimi nmeshangaa,kusikia anaishi kenya na anafanya harakati akiwa huko

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…