Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Very sadTAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
Yaani mnapotezwa uelekeo kirahisi sana, na jamaa huko wanachekelea wakisoma hizi post zinazotaja wahusika wengineMbowe amejiapiza kulinda saccos yake kwa gharama yeyote ike
Dah!TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
Watamtatua marinda sawa sawa, then watamuacha akiendeleza harakati zake wanaachia msimbo...Hawa wanaweza wanaweza wakampiga mtungo,wakamrekodi
Wakamwqmbia sasa tunakuachia ila ukirudia tena video zako tutaziachia
Ova
Iv we unatumia kichwa kufikiri au makaliochukua itakusaidia hiyo gentleman
Mimi hapo nimeelewa tu hio mother fucker! Mengine sijaelewa emu andika upyqJesus!mother fucker! Kwanini alienda Kenya! Mi huwa nafikiri anaishi Ulaya? Hakuona jinsi KiiZa besigye,alivyochukuliwa kikimandoo na ma spy wa Museveni,?!
Huo ndio mwisho, sasa hv huko alipo, atakuwa anaimba kama kasuku, atatendewa vitendo vya udhalilishaji, atatoa Siri zote,
Taasisi pekee ya kuweza kumuokoa, ni US Embassy, au umoja wa Ulaya!
Mmmh!!! wamwache hivi hivi sijui, wanaume tu wanashughulikiwa, wakiachiwa huko wanakuwa wapoleee, sembuse huyo!??Wasije kumbaka tu Maria wetu
Aliyetoa taarifa atoe ushirikiano kwa vyombo husika!TAARIFA za hivi punde kutoka Nairobi ni kuwa Maria Sarungi ametekwa na watu wenye silaha na kuondoka naye pasipo julikana. Tunaendelea kufuatilia.
Inasemekana ametekwa na wanaume 3 wenye silaha waliokuwa kwenye gari aina ya Noah nyeusi, katika mtaa wa Chaka kaunti ya Kilimani, Nairobi.
View attachment 3199790
Amnesty Kenya reports the kidnapping of Maria Sarungi, a prominent critic of Tanzanian President Samia Suluhu and her administration, she was reportedly abducted by three armed men driving a black Noah from Chaka Place in Nairobi’s Kilimani area.
View attachment 3199795
Endelea,kusema ni uzushi wakati kitamu kinaliwa na wasiojulikanaMimi siamini huu uzushi wenu kuwa Tz wanahusika Maria ni Mtoto wa Ccm kalelewa ndani ya Tiss iweje leo muisingizie serikali?
Huyo anahusishwa kuivuruga CDM miaka na miaka iweje leo atekwe na ccm aseme vizuri hapo Kenya kazulumu nini maana hapa tangu enzi za JPM alikuwa anakosoa na hawakuwahi kumkata kwani walishindwa kumfika Mzee Sarungi?
Acheni uzushi Serikali yetu haihusiki yeye anajua alichofanya huko kwa watu kwa akili yako angekuwa anatafutwa na Serikali yetu hata yeye kwa akili ndogo angekubali kwenda kujificha hapo Nairobi?
Huu ni Uzushi.....
Wacheni hizo basi wajombo mboni nongwaWatamtatua marinda sawa sawa, then watamuacha akiendeleza harakati zake wanaachia msimbo...
Nasjia hata akina roma walitaruliwa marinda 🤔
Wanaume watatu,wanakwenda kucheza disco nayeMmmh!!! wamwache hivi hivi sijui, wanaume tu wanashughulikiwa, wakiachiwa huko wanakuwa wapoleee, sembuse huyo!??
Dr. SlaaMatokeo ya mambo haya ni hatari mno. Huu Mwaka utakuja na mengi