Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Maneno yamekosewaMakosa yapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno yamekosewaMakosa yapi?
Ishu hii sio ya kimahakama.tukio.limetokea ofisi ya mtendaji wa kata.Huyu jiwe mnampa promo sana. Yaani hata nasuala ya mahakamani mnataka akayaamue yeye? Yeye ndiye muweza wa yote Tqnzania (mungu wa Tanzsnia)??
Tunazidi kunjengea udikteta zaidi
Is
Ishu hii sio ya kimahakama.tukio.limetokea ofisi ya mtendaji wa kata.
Kwaiyo kama siyo ya kimahakama ni ya nani kwamba raisi anatoa hukumu kama mtu alifia ofisini sababu ya kipigo kuna njia za kuwasilisha maombi ata mahakamani kikubwe kuwe na ripoti ya hispitali na mashahidi mtafute wakili ambaye atawasilisha maombi yenu mahakamani siyo kila kitu kumpa shida Raisi wakati nyie hamjachukua hatua yoyoteIs
Ishu hii sio ya kimahakama.tukio.limetokea ofisi ya mtendaji wa kata.
Ni jinai ila hapa kuna ishu kama tatu tambua kuna kuwawajibisha watumishi wa umma na kuna ishu ya jinai pia halafu kumbuka watumishi wote wanamuwakilisha Rais.Una maana mtu akiuliwa ndani ya ofisi ya mtendaji sio jinai?
Alafu hii ishu imezimwa kiaina kirumba policeYule mama kahama ambae mume wake aligongwa na trafiki mlevi asingemuona rais angepata haki yake?
Ana maana halijafikishwa mahakamani hivyo mtu yoyote anaweza kuliingilia.Una maana mtu akiuliwa ndani ya ofisi ya mtendaji sio jinai?
Sawa mkuu, lkn kwann msilipeleke suala lenu kwenye vyombo vya kisheria ili haki yenu ipatikane?Is
Ishu hii sio ya kimahakama.tukio.limetokea ofisi ya mtendaji wa kata.
Limekwenda mpaka polisi kirumba.polisi walipotosha kuwa wamepigwa na wananchi. ElewaSawa mkuu, lkn kwann msilipekeke suala lenu kwenye vyombo vya kisheria ili haki yenu ipatikane?
Hii ishu inahusu sehemu nyingi.utawala bora ,mahakama nk.usikariri sana .Kwaiyo kama siyo ya kimahakama ni ya nani kwamba raisi anatoa hukumu kama mtu alifia ofisini sababu ya kipigo kuna njia za kuwasilisha maombi ata mahakamani kikubwe kuwe na ripoti ya hispitali na mashahidi mtafute wakili ambaye atawasilisha maombi yenu mahakamani siyo kila kitu kumpa shida Raisi wakati nyie hamjachukua hatua yoyote
Kaenda TAKUKURU? Kafungua kesi mahakamani?Kama Rpc ,Rco, Ocd anajua unategemea nini?
Watanzania wote wenye vikesi vyao wakimpelekea raisi huyo rais atafanya kazi gani ya urais na hizo kesi ataziamulia lini?Yule mama kahama ambae mume wake aligongwa na trafiki mlevi asingemuona rais angepata haki yake?
Aliyeachiwa kwa rushwa ni mwanajeshi au mtuhumiwa wa wizi wa vifaa vya mwanajeshi?Makosa yapi?
Ni jinai.ila hapa kuna ishu kama tatu tambua.kuna kuwawajibisha watumishi wa umma na kuna ishu ya jinai pia.Alafu kumbuka watumishi wote wanamuwakilisha rais.
Unauhakika alimuibia? Ishu haikufika mahakamani unaanza ku...Aliyeachiwa kwa rushwa ni mwanajeshi au mtuhumiwa wa wizi wa vifaa vya mwanajeshi?
Je wewe upo upande gani katika utetezi?
Kujichukulia sheria mkonini ni kosa na kumuibia mwanajeshi nalo ni kosa.
Sema sasa upo upande gani wa shilingi,maana pyepyepye nyiiiiingi!