ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Wanajeshi wako juu ya sheria kwakuwa wanamlinda mvunja katiba Ikulu. So wao nikila kitu wanaua watakavyo ndo maana kabudi aliandika barua kujitoa kwenye Mahakama ya kimataifa ili waue bila kuulizwa.
Hakuna aliyejuu ya sheria