Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #41
Wananchi wangapi walidhurumiwa na viongozi wa ngazi za chini na Rais amewasaidia?Use common sense.hapa watu waliteswa na mmoja alifariki.huko ni kuibiana nguo? Unaweza jifanya mjuaji kumbe makamasi tu.Watu wamefungiwa ndani ya ofisi ya kata na kuteswa kwa kipigo kikali.