Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Adhabu hazitolewi tu bila haki ya kusikilizwa na kuelewa chanzo cha changamoto.Wewe ni mpumbavu sanaa... yule askari naee hana akilii anadhani watu wanaogopa zile jezi za bakabaka oohoo watu washavurugwa na maisha angeweza kuuliwaa kizembe sana anastahili kupewa adhabu kalii sana kudhalilisha nguo za jeshi
Yaani bro hujanielewa yule mjeshi kamchomekea mwenzie vilevile akaenda kumpa kipigo yule dereva.Kwa hiyo wakachukia kwa sababu ni askari?Wangapi huchomekeana barabarani?
Muwe mnavumiliana barabarani.Easy...easy!Safari ipi we mwehu kamkuta dereva mnyonge mimi ningeondoka na pumbuzii zake hata kwa kuzichomoa na meno yangu.
halafu tambua unajulikana hivyo kuwa makini sana na wewe yasije kukuta ya zaidi ya huyo dereva daladala wenu mpuuzi sawa?Safari ipi we mwehu kamkuta dereva mnyonge mimi ningeondoka na pumbuzii zake hata kwa kuzichomoa na meno yangu.
safi sana kwa alichokifanya mjeda wa jwtz kwa huyo dereva wa daladala. mpaka raia mkomeYaani bro hujanielewa yule mjeshi kamchomekea mwenzie vilevile akaenda kumpa kipigo yule dereva.
Najulikana na nani humu unanitisha sio pumbavu fanya unalo weza,Mimi sio mnyonge 😀😀😀halafu tambua unajulikana hivyo kuwa makini sana na wewe yasije kukuta ya zaidi ya huyo dereva daladala wenu mpuuzi sawa?
na bado mtapigwa nao sana tuIyo ndo kaz vijana wa JWTZ wanaweka ila kulinda mipaka vijana wenzao wasiende kujiunga na ugaid wameshindwa
Kulinda mipaka wakimbizi wasiingie na kupewa ajira tena zenye maamuzi wameshindwa
Wao wanaweza kupiga watu tena watanzania wenzao
Wao wanaweza kugombea wanawake na kupiga wapenzi wao
Wanaweza kufanya usafi sku ya maandamano ili kutisha na kuonea watz wenzao
Tz isiyojua Katiba wala Sheria yoyote, kila mtu ni mbabe. Uhuni huu utaishia pabaya!naendelea kumtafuta huyo mjeda ( askari wa jwtz ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu kwa sasa nchini tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini
nitaanza na mkeo kumkanda ukishuhudia kisha narejea kukudunda mbele yake sawa?Najulikana na nani humu unanitisha sio pumbavu fanya unalo weza,Mimi sio mnyonge 😀😀😀
na mtapigwa nao sana tu kudadadekiWewe mtoa mada kama sio una WAZIMU basi una KICHAA,Gari lilikuwa bado linatembea huku yeye akifanya kitendo cha ukichaa ulitaka wafe abiria na wapita njia🥶🥶🥶
Hii tukio liliwahi kutokea pale Picha ya Ndege, Kibaha mwaka jana, mimi nikiwa miongoni mwa abiria kwenye Daladala ile iliyokuwa inaenda Mlandizi, nilimind sana ingawa nilibaki kupigwa butwaa kama abiria wengine.Kuna Mkasa umtokea ukimuonesha Mwanajeshi wa JWTZ akimshambulia Dereva wa daladala ya Tabata, Lakini Akiwa anafanya Tukio hili Dereva wa Daladala alikuwa hajaweka gari katika 'Parking' Hivyo ikawa inatembea, Hii ni hatari kwa maisha ya abiria walioko katika Daladala hiyo na Wale wanaotumia Kwa njia ya Miguu.
Tunaomba Mamlaka husika kushughulikia Hili na kuwaweka uwazi juu ya hatua zitakachochukuliwa kwa kamanda huyu aliemshambulia Raia ambaye ni dereva na alibeba Roho za watu
hv we kilaza hujui nchi inataratibu zake , huyo mjeda hajui sehemu sahihi ya kumpeleka dereva , ndio maana tunaitwa sub human kwa kusapoti akili kama hznaendelea kumtafuta huyo mjeda ( askari wa jwtz ) aliyefanya hivyo ili nimpe zawadi ya soda tamu kwa sasa nchini tanzania ya supa commando na nawaomba na wanajeshi wengine waige mfano wake kwa madereva daladala wakorofi, wahuni na wenye dharau wa maeneo mengine nchini
thubutu...!Yule. Jamaa alipigwa as kachaniwa tshet ingekua ni mimi kanifanyia huo ujinga io vita ingekua ya wheel spaner na toshen ila pamoja na yote hawakumuacha kinyonge
sasa vituo vya polisi vina wajibu gan ?nimefurahi sana afande jwtz alivyotembeza kichapo hicho ikiwa huyo dereva daladala mpuuzi
mpigwe tu hakuna namna sawa?hv we kilaza hujui nchi inataratibu zake , huyo mjeda hajui sehemu sahihi ya kumpeleka dereva , ndio maana tunaitwa sub human kwa kusapoti akili kama hz
kukusanya maiti zenusasa vituo vya polisi vina wajibu gan ?
Jamaa pimbi kweliKwa hiyo wewe ukichokozwa na mmoja uko tayari uuwe watu mia 🤨