Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Dereva daladala atakuwa mkimbizi anayejifanya raia. Jenerali kasema wapigwe tu.

Watanzania tumezidisha uwoga.
 
Na nyie raia mliokuwamo kwenye hulo gari wapuuzi, mlishindwa nini kujioganaizi na kumdhibiti huyo mpumbavu? Mngempa kichapo cha mbwa mwizi!
 
Safi sana, madereva wazembe washikishwe adabu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…