kwan hii nchi hain sheria , mbona unakuwa mpuuuz ww , hv baba yako angekuwa anadharirishwa hivyo ungechekelea ? kila mtu akiamua jichukulia hatua mikononi si nchii itakuwa kama SomaliaNamuunga mkono mwanajeshi tena huyo dereva wa daladala ni muhuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwan hii nchi hain sheria , mbona unakuwa mpuuuz ww , hv baba yako angekuwa anadharirishwa hivyo ungechekelea ? kila mtu akiamua jichukulia hatua mikononi si nchii itakuwa kama SomaliaNamuunga mkono mwanajeshi tena huyo dereva wa daladala ni muhuni
Binadamu anayeitwa mwanajeshi alichokozwa akakasirika.Kwa ujinga wa watu,hasa mleta uzi,wanadhani wanajeshi si binadamu wa kukasirika.chanzo ni nini?
Inasikitisha sanaJeshi letu hilo ambalolinasifika kwa nidhamu.
Laana imejaa nchini mpaka basi. Muda utazungumza
Ndipo tulipofika.....wacha twende hivi hivi.Hivi ikiwa kila mtu akiamua kujichukulia sheria mkononi sababu ya cheo au pesa.
Tutakuwa taifa la aina gani?
Tafakari.
We pia ukichokozwa ukakasirika utafanya hivyo?Binadamu anayeitwa mwanajeshi alichokozwa akakasirika.Kwa ujinga wa watu,hasa mleta uzi,wanadhani wanajeshi si binadamu wa kukasirika.
Naunga mkono hojaCome on man!
Kwa nini baadhi ya watu ni waoga hivyo?
Why not fight back?
Huyo mwanajeshi naye ni binadamu tu kama wewe.
Akikurushia ngumi nawe mrushie. Na ikimpata kwenye taya anaenda chini tu kama watu wengine.
Watanzania wananiangusha sana aisee.
I wish one of these niggaz would try me one day…..
KabisaNa mwanajeshi ni mwembamba, means wangeweza kumchangia [emoji16][emoji16]
Ila waTz tuna mteru sana na hao watu.
Mzee utaongea tu kirahisi.....hawa wanatembea na Mguu wa Kuku anaweza kukufyatulia ukaondoka.
Kwani hao abiria humo ndani wameshindwa kumzuia huyo mwanajeshi aacha kujichukulia sheria mkononi? Wameshindwa kumpiga?
Mzee utaongea tu kirahisi.....hawa wanatembea na Mguu wa Kuku anaweza kukufyatulia ukaondoka.
Kwani hao abiria humo ndani wameshindwa kumzuia huyo mwanajeshi aacha kujichukulia sheria mkononi? Wameshindwa kumpiga?
Wanajeshi wa Tanzania wanatembea na silaha?Mzee utaongea tu kirahisi.....hawa wanatembea na Mguu wa Kuku anaweza kukufyatulia ukaondoka.
Bora ampige mabao tu lakini asije mtu poteza maisha.
Sana sana anataka kutimiza haja ya hasira zake mbele za watu
Nitagaragara chini huku najiliza kama chizi.We pia ukichokozwa ukakasirika utafanya hivyo?
Dharau isivuke mpakaBinadamu anayeitwa mwanajeshi alichokozwa akakasirika.Kwa ujinga wa watu,hasa mleta uzi,wanadhani wanajeshi si binadamu wa kukasirika.
Sio mda wote Ila kuna mda wanatembea nazo kwa sababu za kiusalamaWanajeshi wa Tanzania wanatembea na silaha?
Sidhani…..
wamempiga balaa hadi kumchania vest
Kwani hao abiria humo ndani wameshindwa kumzuia huyo mwanajeshi aacha kujichukulia sheria mkononi? Wameshindwa kumpiga?
Utabutuliwa mpaka ubutuke ndio maana wanawapeleka mkale mafunzo JKT muelewe kule nini kinachojiri msiwe na dharau dharauNitagaragara chini huku najiliza kama chizi.
Wamempiga nani mumeo dereva?wamempiga balaa hadi kumchania vest
Hahaha vifua km njiwaWanaume wa dar wanazingua sana,uwakute sasa na vibukta vyao asubuhi wanakimbia pembezoni mwa barabara,na vifua kama njiwa,utadhani wapo serious [emoji3][emoji3],gari zima wameshindwa kumkalisha huyo mpuuzi.
yes mumeo derevaWamempiga nani mumeo dereva?