Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Mwanajeshi kumshambulia dereva wa daladala ikiwa na abiria ni kuhatarisha maisha ya abiria pia

Come on man!

Kwa nini baadhi ya watu ni waoga hivyo?

Why not fight back?

Huyo mwanajeshi naye ni binadamu tu kama wewe.

Akikurushia ngumi nawe mrushie. Na ikimpata kwenye taya anaenda chini tu kama watu wengine.

Watanzania wananiangusha sana aisee.

I wish one of these niggaz would try me one day…..
Naunga mkono hoja
 

Kwani hao abiria humo ndani wameshindwa kumzuia huyo mwanajeshi aacha kujichukulia sheria mkononi? Wameshindwa kumpiga?
Mzee utaongea tu kirahisi.....hawa wanatembea na Mguu wa Kuku anaweza kukufyatulia ukaondoka.

Bora ampige mabao tu lakini asije mtu poteza maisha.

Sana sana anataka kutimiza haja ya hasira zake mbele za watu
 

Kwani hao abiria humo ndani wameshindwa kumzuia huyo mwanajeshi aacha kujichukulia sheria mkononi? Wameshindwa kumpiga?
Mzee utaongea tu kirahisi.....hawa wanatembea na Mguu wa Kuku anaweza kukufyatulia ukaondoka.

Bora ampige mabao tu lakini asije mtu poteza maisha.

Sana sana anataka kutimiza haja ya hasira zake mbele za watu
 
Back
Top Bottom