Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyo ni chizi kama machizi wengine
Sijakuelewa unamaanisha nn
Tulipozuia bidhaa kwenda Kenya ulishangilia Leo tumeondoa vizuizi niliona unashangilia.
Tulipowaita mabeberu ulishangilia Leo tumefuta ubeberu niliona umeshangilia
Makomdo walipofutwa KAZI ulishangilia Leo wanasema ukweli unashangilia. Kama una uchungu na walichofanya wajerumani kwanini pia usijifunze kuwa na uchungu na wanachopitia akina adamoo.
Mwisho unapoandika mada tambua unaandikia wenye akili timamu siyo akili zakushikiwa na maisha yakukariri fikra za mwenyekiti.
Ninyi ndo mnatufanya tusiajiriwe