Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

Huyo ni chizi kama machizi wengine
Sijakuelewa unamaanisha nn
Tulipozuia bidhaa kwenda Kenya ulishangilia Leo tumeondoa vizuizi niliona unashangilia.
Tulipowaita mabeberu ulishangilia Leo tumefuta ubeberu niliona umeshangilia
Makomdo walipofutwa KAZI ulishangilia Leo wanasema ukweli unashangilia. Kama una uchungu na walichofanya wajerumani kwanini pia usijifunze kuwa na uchungu na wanachopitia akina adamoo.

Mwisho unapoandika mada tambua unaandikia wenye akili timamu siyo akili zakushikiwa na maisha yakukariri fikra za mwenyekiti.

Ninyi ndo mnatufanya tusiajiriwe
 
Hoja yako ni dhaifu sana mkuu, jamaa anazungumzia juu ya Democracy ya Tanzania. ilivyo weak kulingana mazingira iliopo sasa ya kesi inayomsibu mbowe..,Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kama mmeshindwa kuinganisha tuu, Tanzania utawezaje kuiunganisha Africa ... inferiority complex...
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Alichemka mwenda zake utakuwa wewe mbweha mzungu ni mziki mwingine hawakulupuki hao
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Umesema kwa vile alikuwa kwenye jeshi la ujerumani,lilikuwa na ubaguzi na mambo yote ya hovyo,basi na yeye ni WA hovyo,sasa kwa ufanano huo huo,
Maghu alikuwa katili,mbaguzi,kesi za kubambikwa zimejaa kibao kwenye polisi,basi wote waliopo kwenye serikali ya ccm,na vyombo vyake vya Ulinzi na usalama ni waovu na washenzi watupu.
Hakuna jema lolote ndani ya ccm tangu Mwalimu Nyerere
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Huko chamani nzi wote wa kijani hamna akili,kazi ni kuropoka
20211203_085946.jpeg
 
Sijakuelewa unamaanisha nn
Tulipozuia bidhaa kwenda Kenya ulishangilia Leo tumeondoa vizuizi niliona unashangilia.
Tulipowaita mabeberu ulishangilia Leo tumefuta ubeberu niliona umeshangilia
Makomdo walipofutwa KAZI ulishangilia Leo wanasema ukweli unashangilia. Kama una uchungu na walichofanya wajerumani kwanini pia usijifunze kuwa na uchungu na wanachopitia akina adamoo.

Mwisho unapoandika mada tambua unaandikia wenye akili timamu siyo akili zakushikiwa na maisha yakukariri fikra za mwenyekiti.

Ninyi ndo mnatufanya tusiajiriwe
Kuna maneno mwafrika hupasi yaandika au kuongea ' usiweke hoja ya kuuliza kufurai kuondoa mabeberu au kuondoa uongozi haramu wa wajerumani ' hilo sio swali la kuuliza maana mwafrika timamu hawezi wafurai hao mabeberu , WAAFRIKA SIASA INATUPELEKA PABAYA HATUJUI NINI MAANA YA CHAMA TAWALA NA CHAMA PINZANI , SISI TUNAFANYA SIASA KAMA UADUI VILE ,MLETA POST KAONGEA VITU SENSE SANA KIASI KWAMBA SIKUTEGEMEA KAMA KUNA MTU TIMAMU ANGEKUJA NA HOJA NEGATIVE , either mtu wa hivyo ana uelewa mdogo juu ya siasa za kidunia au anatumika na mabeberu kwa maslai ya mabeberu.
 
Umesema kwa vile alikuwa kwenye jeshi la ujerumani,lilikuwa na ubaguzi na mambo yote ya hovyo,basi na yeye ni WA hovyo,sasa kwa ufanano huo huo,
Maghu alikuwa katili,mbaguzi,kesi za kubambikwa zimejaa kibao kwenye polisi,basi wote waliopo kwenye serikali ya ccm,na vyombo vyake vya Ulinzi na usalama ni waovu na washenzi watupu.
Hakuna jema lolote ndani ya ccm tangu Mwalimu Nyerere
Bro siasa isikupumbaze akili kiasi hiko , Hivi tukiomba ushaidi wa kesi ya mtu kubambikiziwa utatuletea ?
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Huyo shoga inawezekana ana bwana hapa tanzania. Mshenzi sana. Uongo wake dhidi ya tanzani utafikiri ni mwanamke malaya.
 
Alichemka mwenda zake utakuwa wewe mbweha mzungu ni mziki mwingine hawakulupuki hao
Mbantu hanaga akili , yaan mzungu huyo unaemsifia ana malengo mabaya na watz wote ni sio ccm au mleta post , ila kwa upeo mdogo wa baadhi ya wabantu huwa wanajiundia divisions za kjnga na mzungu ana tumia advantage , GOD BLESS ETHIOPIANS hao ndo waafrika wenye utimamu wa akili , nchi nzima imeungana kuwaondoa wale vibaraka wa wazungu , ila kwa mbantu hili hutoliona zaid ya kusapoti adui na tunastukaga kumekucha
 
Alienda nawalimhudumia hadi akaja kupata Urais kwa hisani yao ya Peacemaker.
Ukaidi tu,angekuwa bado Rais wetu.
Tukubali kuishi kwa kuchukuliana kwa mwenye nacho/asiyenacho.
maneno yako yananikumbusha mbwiga mmoja alikuwa hataki uhuru enzi za utumwa kisa waafrika tumeumbwa kuwatumikia wazungu [emoji23]
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928


Kwanza ondoeni majeshi yenu ya kivamizi huku Zanzibar

Tumechoka Tuwacheni tupumue , kila uchaguzi mnaongeza vikosi mnatuua na kututia vilema , uchaguzi uliopita mumekodi mpaka majeshi ya Burundi . Sisi hatuna habari na huyo mjerumani tumechoka na madhila na uvamizi wenu Watanganyika .
 
Andishi lote neno mwanajeshi umeandika Mara miamoja ,wanajeshi waulaya skonga ipo nahawatumiwi Kama mnavowatumia wakwenu afrika ndotofauti
Si hao wanajeshi wa ulaya walitumika kuichafua libya ? Ni watu wema sana hao si ndio
 
Mbantu hanaga akili , yaan mzungu huyo unaemsifia ana malengo mabaya na watz wote ni sio ccm au mleta post , ila kwa upeo mdogo wa baadhi ya wabantu huwa wanajiundia divisions za kjnga na mzungu ana tumia advantage , GOD BLESS ETHIOPIANS hao ndo waafrika wenye utimamu wa akili , nchi nzima imeungana kuwaondoa wale vibaraka wa wazungu , ila kwa mbantu hili hutoliona zaid ya kusapoti adui na tunastukaga kumekucha


Kwa Taarifa yako Ethioppia inasaidiwa na UAE pamoja na Uturuki

Tumechoka na huu uvamizi wenu huku Zanzibar , Ondoeni majeshi yenu yaliyojaa kila kipembe pamoja na usalama wa taifa lenu la Tanganyika
 
Kwanza ondoeni majeshi yenu ya kivamizi huku Zanzibar

Tumechoka Tuwacheni tupumue , kila uchgaguzi mnaongeza vikosi mnatuua na kututia vilema , uchaguzi uliopita mumekodi mpaka majeshi ya Burundi . Sisi hatuna habari na huyo mjerumani tumechoka na madhila na uvamizi wenu Watanganyika .
Siku ikifik ndo utakumbuka muungano unawabeba wazanzibar kuliko bara , Alshabab wanawatamani sana siki tukiwaachia huru [emoji23]
 
Mleta mada tupe mifano ya hiyo migogoro aliyoianzisha katika bara la Afrika.
Otherwise utakuwa "chawa pro" unayeishi kwa kujipendekeza kwa watu.
Kama ni mwanaume be careful utaliwa very sooner!
 
Siku ikifik ndo utakumbuka muungano unawabeba wazanzibar kuliko bara , Alshabab wanawatamani sana siki tukiwaachia huru [emoji23]

Mnatubeba kwa kutujazia vikosi kila kipembe na ukifika uchaguzi mnakodi mpaka majeshi ya Burundi.

Wewe utakuwa ni mmoja wa hao Alshababu , ulijuaje ??

alshababu hajamuua mtu Zanzibar , nyinyi mumetuulia watu wetu kwa maelfu na kututia vilema
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Mmeanza propaganda za Polepole na Jiwe. Badilikeni. The world and Tanzania has moved on!
 
Kwa Taarifa yako Ethioppia inasaidiwa na UAE pamoja na Uturuki

Tumechoka na huu uvamizi wenu huku Zanzibar , Ondoeni majeshi yenu yaliyojaa kila kipembe pamoja na usalama wa taifa lenu la Tanganyika
Tunazungumzia mwamko wa kujitambua , wa ethiopia hawakutawaliwa sababu walikuwa wanajielewa sio kama nyie kazi kusifia waarabu au wakristu kazi kutetea wazungu ( bado watumwa kiakili huezi kutufananisha na wa ethiopia ) , Angalia juzi wamefanya maandamano ulaya huko juu ya kuvionya vyombo vya habari vinavyochochea mgogoro wao , huko ndo kujielewa sio nyinyi mnatetea mtu ambae ni tishio kwa usalama wa ukanda wetu wote huu , siku tz ikiingia machafukoni basi jua burundi na congo plus rwanda hawatabaki salama maana hii itakuwa kichochoro cha kuingizia silaha na hata wapiganaji wa maeneo ya landlocked countries na ndio maana tumewindwa sana tangu uongozi wa Magu , ila kwa vile hatujielewi basi tunahis hao wazungu wanatupenda sana Upinzani , tuamke jamani tofauti zetu isiwe kichochoru cha mafanikio ya mtu mwingine tujifunze kwa somalia , libya na Syria walidanganywa kuwa wanasaidiwa kuondoa tawala zao eti ni za kibabe ( bila ushaidi yaan propaganda tu ) ila baadae wanakuja kuona hao wasaidiaji wamejikita kwenye wizi wa maliasili na sio kuwasaidia raia na kibaya unakuta hali ni mbaya kuliko kipindi cha utawala wa yule muliomuita mbaya ila ndo mmekosea na hamuezi tena rekebisha makosa mpaka wahamue wao wazungu
 
Back
Top Bottom