Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

Sasa wewe nguruwe ndiyo umeongea nini ni bora mzungu kuliko nyie ngozi ya mkuundu ni lini mzungu ulishasikia hapa tanzania kesha mchinja kama kuku mtanzania au kampiga risasi mtanzania mchana kweupe au kaua kaweka kwenye viroba au kabambika kesi mwingine mbwa nyie hamna akili bora mzungu kuliko mkoloni mweusi mtanzania mccm mafi kabisa!
Na lin ulisikia serikali imemchinja mtu au kumpiga mtu risasi makusudi ? ukiongea lete na ushahidi na sio stori za vijiweni maana ndo ttzo waswahili
 
Sasa wewe nguruwe ndiyo umeongea nini ni bora mzungu kuliko nyie ngozi ya mkuundu ni lini mzungu ulishasikia hapa tanzania kesha mchinja kama kuku mtanzania au kampiga risasi mtanzania mchana kweupe au kaua kaweka kwenye viroba au kabambika kesi mwingine mbwa nyie hamna akili bora mzungu kuliko mkoloni mweusi mtanzania mccm mafi kabisa!
Mzungu kakusaidia nini?
 
Ndivyo ulivyodanganywa hapo Lumumba?

Hivi hujui kuwa Nyerere alipinduliwa Na wanajeshi Na Uingereza ndiyo iliyomweka madarakani. Kwa kurudishwa kwake akawa kibaraka wa Uingereza? Na kazi ya kwanza aliyopewa ni kuivamia Zanzibar Na kuweka jeshi.
Mm sipo kweny siasa ila napingana na stori za vijiweni ,

Lete ushahidi sio maneno mingi ndg
 
Lini majeshi yaliingia mtaani kuua watu lete ushaidi , usije ukawa wakala wa vikundi vya kihuni kueneza propaganda za kuzichafua serikali zetu
Majeshi ya Tanganyika yalianza kuwepo Zanzibar siku 3 baada Mavamizi
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Sikuona jambo lolote la uongo aliloliongea!!!! sema tu umaskini na uoga wetu ndio unatuponza lakini kila kitu kina mwisho,mara nyingi wanaosema ukweli ndio wanaumia zaidi.
 
Hajatia mtu kwenye viroba Na kumtupa Coco beach
Nahitaji ushahidi na si maneno tu ambayo mtu anaeza yaandika kisa kakosa mkopo au kafukuzwa kazi au kabaniwa mianya ya kutokulia kodi ( yaan ubinafsi )
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Mataga wanaweweseka
 
Ungekuwa na akili ungesema hoja zake halafu ukazipinga , kwa kuwa huna uwezo wa kuzipinga ndio umekuja na utopolo , pole sana hoja hizo ni nzito viongozi wote wa ccm taifa hawana uwezo wa kuzijibu sembuse wewe ? MacAllister timemsikiliza ameongea facts tupu kuhusu uonezi wa serikali ya Tanzania kwa wapinzani , ukiukaji wa demokrasia , haki za binadamu , akatoa na mfano wa Mbowe kufunguliwa mashtaka feki , akohoji kwanini kodi za watu wanachama wa jumuiya ya ulaya ipewe serikali inayokiuka demokrasia na haki za binadamu ?Hujaelewa nini we utopolo au hupendi ?
 
Na lin ulisikia serikali imemchinja mtu au kumpiga mtu risasi makusudi ? ukiongea lete na ushahidi na sio stori za vijiweni maana ndo ttzo waswahili
Kichwa chako ni benki ya kamasi hata nikikuwekea facts hutoelewa.
 
Nahitaji ushahidi na si maneno tu ambayo mtu anaeza yaandika kisa kakosa mkopo au kafukuzwa kazi au kabaniwa mianya ya kutokulia kodi ( yaan ubinafsi )

 
Back
Top Bottom