TANZIA MwanaJF Dada Niah amefariki dunia akipatiwa matibabu Dodoma General hospital

TANZIA MwanaJF Dada Niah amefariki dunia akipatiwa matibabu Dodoma General hospital

Poleni kwa wote watakaoathirika kulingana na kifo chake.

Safari yake imeishia hapo hakuna apumzike pema wala pabaya mambo yenu hayasaidii chochote.

Safari ya mwanadamu ni fupi na kama fumbo huenda imebaki roho ikiishi kwenye ulimwengu tofauti na wetu.(Yaani kwenye ulimwengu wao tu waliopoteza miwili au kufa kama tulivyozoea kuita) Na pia huenda hakuna lolote linaloendelea ndio mwisho wa kila kitu
 
Back
Top Bottom