TANZIA MwanaJF Dada Niah amefariki dunia akipatiwa matibabu Dodoma General hospital

TANZIA MwanaJF Dada Niah amefariki dunia akipatiwa matibabu Dodoma General hospital

Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanajamiiforums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki leo mchana Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu

Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania

Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua

Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa

Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima

Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.

Pumzika kwa amani dada yangu niah 😪

View attachment 3115403
Loh, poleni sana jamani!
 
Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanajamiiforums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu

Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania

Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua

Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa

Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima

Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.

Pumzika kwa amani dada yangu niah 😪

View attachment 3115403
RIP mwana JF. Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba huu.
 
Nilistuka nilipopata taarifa za Msiba wa dada yetu huyu.

Niseme tu, Poleni wafiwa, sote.

Hakika, tupo mapitoni tu hapa Duniani.

Amani iwatawale WanaJF wote, kwani hatujui muda ama saa pale mauti itakapotufikia.

Tuombe muumba awapatie nguvu familia yake na yetu JF kwa msiba huu.

Lala kwa Amani Dada😭
 
Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanajamiiforums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu

Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko hivyo atatujuza zaidi
Mara ya mwisho kabla ya kurejea nchini alikuwa Lebanon Beirut ambapo mumewe ni mwambata wa ubalozi kule.. Mumewe si raia wa Tanzania

Mazishi ni kesho mjini Bukoba ambako ndiko asili yake
Nilimfahamu mwaka 2017 hapa JF na baadae nje ya JF.. Alikuwa ni mama mwenye upendo mkuu ushauri mwanana asiye na majivuno na aliyekuwa anaisaidia bila kubagua

Hakuwa mshiriki sana kwa maana ya kuandika lakini alikuwa msomaji mzuri sana wa karibia kila kilichokuwa kikiandikwa hapa

Alikuwa dada na rafiki mwema kwangu. Nitamkumbuka daima

Kwa ruhusa maalum naweka picha yake ya msibani hapa.

Pumzika kwa amani dada yangu niah 😪

View attachment 3115403
R.I.P dada yetu..

tuwe na lugha nyepesi humu kwenye kuchangia nyuzi mbalimbali.... kumbe alikuwa ni mama wa heshima zake kabisa..poleni wanandugu.😖
 
Back
Top Bottom