We jamaa kila nikiona post zako huwa nahisi kama tumefatana hivi.R.I.P
kwanini mkuuWe jamaa kila nikiona post zako huwa nahisi kama tumefatana hivi.
Umejiunga Dec 14, mimi Dec 15kwanini mkuu
Mungu anakooona inafaa. Binadamu muda wote huwa tunatakiwa tuombeane mema!Apumzike kwa 'amani' wapi huko...
Mbinguni?
Kwamba mtu akifa anaenda mbinguni ama?
Apumzike mahali pema, tutaonana badae
Mtu ameshakufa anapumzikaje kwa amani?Apumzike kwa amani