TANZIA MwanaJF Dada Niah amefariki dunia akipatiwa matibabu Dodoma General hospital

Misimamo ya kidini na kiimani ni mingi mno katika huu ulimwengu, sioni haja ya kuileta kwenye huu uzi tena unaomuhusu mtu ambae hatupo nae na ikiwa JF ni jukwaa huru kila mmoja wenu anaweza fungua uzi wake na kuelezea namna anavyoamini yeye kama yeye.
 
Nimepita kwenye mitaa ya wakristo, msiba umefana kweli kwa maneno ya imani na matumaini juu ya kifo cha ndugu yao lengo ni kujitia moyo kwamba wanakokwenda ni mbinguni

Apumzike kwa amani,
Rip,
Na majirani zao pia walikuwepo,
inna lilah,
Ndugu zanguni kwenye kipindi cha majonzi kama hiki ndio kipindi cha kuwekana wazi,
Ni kwanini mamalia pekee anayeenda mbinguni baada kufa ni huyu anayezaa kwa kujificha, anakula kistaarabu, anavaa nguo, ana mwili na roho, vipi kuhusu ng'ombe, mbuzi, au kondoo na wao wanaenda wapi?.

Turudi kwenye asili ndugu zanguni, hii miungu ya kizungu inayowapeleka mbinguni baada ya kufa ni ya kizushi,

Poleni kwa msiba, aliyekufa amekufa, hana anakokwenda, mnaishi leo lakini mnakubali lugha ya imani na matumaini inalaghai fahamu za akili,

Apumzike kwa amani, wapi modernist? Do you guys have common senses?!!
 
Alale anapostahili
 
Pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu. Mungu Mwema awe faraja kwao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…