MwanaJF Malisa GJ amefunga ndoa leo jijini Arusha

Hongera zako Mr Malisa,,mnuso wapi????
au ndo nishachelewa,,,
 
Safi sana MUNGU awape ndoa yenye furaha na amani, ndoa nikutimiza matakwa ya MUNGU waiheshimu na kuilinda vyema.
 
MBONA HUYU SIYO YULE DADA KIILYA AU WAMWMWAGANA?


 
Wewe lofa hata utani huujui. Huoni hiyo "shekhe" ipo kwenye mabano?
Utani au ulikua hujui,ushajua sasa!..tembea upate exposure Acha kukaa kolomije maisha yote
 
Hao watoto alikuzalisha wewe? Mbona hukuja mahakamani kuweka pingamizi
Jamaa si tayari kashazaa mkewake ana mtoto huyu.Hivi KKKT nao kama Katoliki kumbe eeh unabariki tu ndoa na sio kufunga ndoa
O
 
Huyo mke wake aache mkorogo basi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…