Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Pole sana kwa ndugu kuondekewa na mpendwa waoNinayo masikitiko makubwa kuwataarifu msiba wa mwenzetu Erick Kalemela uliotokea nchini India jana tar 23 Mei 2022 saa 3 asubuhi majira ya India, alipokuwa anapokea matibabu.
Mwili unatarajiwa kuwasili siku ya Alhamisi kwa ajili ya taratibu za mazishi yatakayofanyika kwao Kahama.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Bila shaka ishu ni mapafu... lile vumbi linafanya mapafu yanakuwa chekecheke..Alikuwa akiishi huko. Alikuwa mchimbaji madini.
Kijiji hasa sikifahamu. Ngoja nitamuulizs mkewe then nitakujibu.Aisee, ni wapi alikuwa akichimba mwime,bushimangila,mwakitolyo au tambarare?
Hapa nimestuka kesho nitawauliza jamaa zangu waliopo huko kahama
Bia yetu sijui kapotelea wapi alikuwa anaoneka sana enzi za JPMHuwa nikikutana na tangazo la namna hii, huwa nawaza sana. Hivi sisi ambao hatuna watu au mtu ambaye anatufahamu kwa majina yetu haya ya bandia hapa JF, tukifa, itakuwa kimya tu, kama vile tumeamua kuwa kimya tu, kama Bia yetu alivyoamua kuwa kimyaaaaa!