TANZIA MwanaJF mwenzetu Erick Kalemela amefariki dunia

Pole sana kwa ndugu kuondekewa na mpendwa wao
 
Bia yetu sijui kapotelea wapi alikuwa anaoneka sana enzi za JPM
 
Mungu akurehemu na kukupokea mwanae mpendwa Erick. Pumzika kwa amani mpita njia mwenzetu, nasi muda si mrefu njia yetu itafika kikomo tuungane nawe huko mapumzikoni kwa BABA.

NB. Tujitahidi kua na michango/comments zisizo na machukizo kwa wengine..Mtu akifa humu ndio tunaanza kuchunguza aina ya michango yake. Ni wazo langu tu lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…