Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Marehemu hana kauli ila Kama hakutaka Identity yake iwe wazi akiwa hai hata akiwa amekufa inapaswa kubaki hivyo, kama aliiweka wazi ni sawa kuendelea kuiweka wazi.Marehemu anakuruhusu vipi kuonyesha picha yake?
Apumzike kwa amani mwenzetu.