TANZIA MwanaJF Ndikwega afariki dunia katika ajali ya gari eneo la Igawa

Hii hua unakuta unarafkiako anatumia jf ikiwa naww unatumia jf pia ID mnajuana ikitokea mmoja anatoa taarifa ila kwa upande wangu nipo pekeangu
nami niko peke yangu, nitakufa mazimaa kwakweli
 
Udongo unaondoka tu JF Members. R.I.P Kwake na pole nyingi sana kwa Familia yake, Ndugu, Jamaa, Marafiki na wana JamiiForums wote kwa Msiba huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…