Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Apumzike Kwa AmaniNdugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .
Apumzike salama
MomumooNdikwegha-sioi au sichukui.Rest n pc
una kesi namie,upilikeeeeNdikwegha-sioi au sichukui.Rest n pc
RIP NdikwegaNdugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .
Apumzike salama
Duh..... nimempoteza follower wangu na mdau wangu wa lugha ya Kinyakyusa.Ndugu Yetu Ndikwega amefariki juzi tarehe 21/02/2022 Jumatatu asubuhi eneo la Igawa. Amefariki kwa ajali akitoka Mbeya Kwenda kituo chake cha kazi Njombe. Alikuwa peke yake kwenye gari binafsi.
Mazishi yamefanyika leo kwao Rungwe .
Apumzike salama
Sepwaaaa...... Tuka ni sya kujhobha, tutighi NDAGHA KYALAUkaghone gwa kukaja!
Nakujua vizur Sana Zama pm nkupe details zako hutoaminPole ya wafiwa wote,
Najiwazia mimi nitakapokufa nani atajua humu? anyway mkiona kimya zaidi ya mwaka mjue nipo kwa baba namimi[emoji44]
Mkhundughee fijoMomumoo
Mnamjibu wa nini? Mtu mzima anaulizaje swali la kitoto namna hiyoWatu tunajuana humu mkuu. Kama mimi nina rafiki zangu wakubwa humu wananijua fika akiwemo huyu syllae toka nitoke tangu tunavaa kaptula