Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Hoja yakipuuzi kuliko zote

Alibaka au walikubalina?

mpaka amezaa nakukuza mtoto maana yake walilidhiana

Ikibidi amzalishe mtoto wa pili kabisa
 
Kesho naenda sali kwa gwajima maana najua wamemchokoza siku nzuri kesho msije shangaa na vyeti vya bashite vikawekwa
 

TAYARI, MMESHAMCHOKOZA, KESHO ATAONGEA NA FAMILIA YAKE
 
ngojeni tumalize furaha ya ushindi wa TLS jumanne tumalize mahakamani then ndo tuje kwenye personal issue na huyo Dada atueleze kwa nini aliingilia Nyumba ya mama gwajima?
 
Umeandika utasema unakimbizwa na ma jambazi Sasa uko na simu mkononi huku una Andika
 
Walifanya mambo yao huko leo anakuja kutuambia utumbo wake mbona alivyotishiwa hakusema alikuwa wapi
 
Gwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga

Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Kumpa mimba sio kosa alivua mwenyewe wala hakulazimishwa
 
Clouds ki ujumla ni mabashite.
Yaan sasa wamekuwa kama redio uhuru tuu
 
Ukiona mtu anatoa maamuzi ovyo ovyo utadhani anaumwa kuhara ujue hana tofauti na shilawadu gwajima!!
 
Mkuu hivi wewe ni Mtanzania kweli kwa kuzaliwa au ni muhamiaji haramu?? Maana sijaelewa mantiki ya uzi ulioandika. ufafanuzi pls.
 
Baba lazima awaelimishe wanae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…