Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Hoja yakipuuzi kuliko zote

Alibaka au walikubalina?

mpaka amezaa nakukuza mtoto maana yake walilidhiana

Ikibidi amzalishe mtoto wa pili kabisa
 
Kesho naenda sali kwa gwajima maana najua wamemchokoza siku nzuri kesho msije shangaa na vyeti vya bashite vikawekwa
 
Leo katika TBC radio, muda wa saa 7-8 hivi, dada anayedaiwa kuzalishwa na Gwajima madhabahuni na kutelekezwa amehojiwa leo, dada huyo amesimulia mkasa mzima...

Anasema, Gwajima alimtongoza na kulala naye kwenye madhabahu na alizaa mtoto na huyo mtoto alikuwa studio wakati wa mahojiano, anasema kuna godoro ndani ya vyumba vya kanisa la Gwajima ambacho Gwajima hutumia kufanya mapenzi na wanawake na madada, anasema, Gwajima kazaa na madada wengine 3 ...

Pia, Anasema, amishatoa taarifa ustawi wa jamii na ustawi wa jamii wamehojiwa na kukiri kulifahamu hilo swala, Gwajima anatuhumiwa kutelekeza mtoto na hatoi matunzo.

TAYARI, MMESHAMCHOKOZA, KESHO ATAONGEA NA FAMILIA YAKE
 
ngojeni tumalize furaha ya ushindi wa TLS jumanne tumalize mahakamani then ndo tuje kwenye personal issue na huyo Dada atueleze kwa nini aliingilia Nyumba ya mama gwajima?
 
Umeandika utasema unakimbizwa na ma jambazi Sasa uko na simu mkononi huku una Andika
 
Walifanya mambo yao huko leo anakuja kutuambia utumbo wake mbona alivyotishiwa hakusema alikuwa wapi
 
Gwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga

Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Kumpa mimba sio kosa alivua mwenyewe wala hakulazimishwa
 
Clouds ki ujumla ni mabashite.
Yaan sasa wamekuwa kama redio uhuru tuu
 
Ukiona mtu anatoa maamuzi ovyo ovyo utadhani anaumwa kuhara ujue hana tofauti na shilawadu gwajima!!
 
Naona clouds TV now rasmi imeanza kutumika na watu Fulani kama mashambulizi ya kisiasa. Sio kwamba raisi kusifia kipindi ndo mnaona kufanya huo ujinga kutawainua na kuwapa umaarufu mmeshashika makaaa na mtaungua now muombe mungu tu uyo mama awe wanasema kweli la sivyo kipindi lazima kipigwe chini hicho
Mkuu hivi wewe ni Mtanzania kweli kwa kuzaliwa au ni muhamiaji haramu?? Maana sijaelewa mantiki ya uzi ulioandika. ufafanuzi pls.
 
Ngoja tuone kama atakuja kuandaa "misa " ya kumjibu na huyo mama.
maana huwa anatuambia yeye kama baba wa familia akishambuliwa
ni lazima ajibu mapigo. Hivyo tunasubilia majibu yake yatavyokuwa, maana
jamaa kwa kumwaga povu hajambo , utafikili aliwahi kuwa TEAM shilawadu.
Baba lazima awaelimishe wanae
 
Back
Top Bottom