Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo katika TBC radio, muda wa saa 7-8 hivi, dada anayedaiwa kuzalishwa na Gwajima madhabahuni na kutelekezwa amehojiwa leo, dada huyo amesimulia mkasa mzima...
Anasema, Gwajima alimtongoza na kulala naye kwenye madhabahu na alizaa mtoto na huyo mtoto alikuwa studio wakati wa mahojiano, anasema kuna godoro ndani ya vyumba vya kanisa la Gwajima ambacho Gwajima hutumia kufanya mapenzi na wanawake na madada, anasema, Gwajima kazaa na madada wengine 3 ...
Pia, Anasema, amishatoa taarifa ustawi wa jamii na ustawi wa jamii wamehojiwa na kukiri kulifahamu hilo swala, Gwajima anatuhumiwa kutelekeza mtoto na hatoi matunzo.
Ni mwanafunzi au alibakwa au kuna element yoyote ya jinai?Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
ivo hao si ndio walitangaza hbr za Trump kumsifia babake BashiteMajanga aiseee kama chombo hicho kimetumika kutangaza habari hiyo.
Kaka mtu alishuhudia hayo?Sasa hivi anahojiwa kaka yake na binti.
Tunasubili afumue yaliyosaliaGwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga
Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Kumpa mimba sio kosa alivua mwenyewe wala hakulazimishwaGwajima alisema akichokozwa tena wiki hii atafumuka upya hapendi ujinga
Ila kumpa mimba sio kosa la jinai kufoji vyeti ni kosa la jinai ......
Daudi leta vyeti hatujasahau hivyoo
Mkuu hivi wewe ni Mtanzania kweli kwa kuzaliwa au ni muhamiaji haramu?? Maana sijaelewa mantiki ya uzi ulioandika. ufafanuzi pls.Naona clouds TV now rasmi imeanza kutumika na watu Fulani kama mashambulizi ya kisiasa. Sio kwamba raisi kusifia kipindi ndo mnaona kufanya huo ujinga kutawainua na kuwapa umaarufu mmeshashika makaaa na mtaungua now muombe mungu tu uyo mama awe wanasema kweli la sivyo kipindi lazima kipigwe chini hicho
Si ashukuru alipewa mimba ya kiroho apeleke huko uyatima wakeHuyu binti ni yatima mzaliwa wa Gumanga Kiomboi Singida. Alikwenda kutafuta msaada wa kiroho ndipo akakutwa na mambo hayo.
Baba lazima awaelimishe wanae