Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mtu kama gwajima anafaa kuwa mtumishi na kuwaongoza kondoo wake na ilhal matendo yake si mazuri kama ni kweli lakini je anafaa kuwaongoza waumini wake au anapiga porojo tu
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Asubiri kusimama kizimbani . Ccm siyo watu, watamtelekeza hataamini. Visenti alivyopewa vitakwisha na zigo la kashfa atabaki nalo.
 
Binti amesema amefukuzwa pale kanisani na akaenda kanisa lingine akakutana na mchungaj akasema ungebaki huko ungekufa kwa kuwa jamaa amekosea masharti sasa sijui masharti ya kuzaa nje au la tusubiri picha inaendeleaaa
 
Hoja yakipuuzi kuliko zote

Alibaka au walikubalina?

mpaka amezaa nakukuza mtoto maana yake walilidhiana

Ikibidi amzalishe mtoto wa pili kabisa
Kwa iyo anayejiita askofu ni haki yake kukubaliana kufanya matusi?
 
Afadhali tumejua kuwa Gwajima ni rijali n hiyo ni sifa ya mwanaume kuzalisha mwanamke
Tunataka vyeti
 
mwambie aje kanisani kesho kama anajipendaa mwenyewe kabla ajafanyiwaa press conference kama d.a.b
 
Gwajima sa ivi anapekua file la shilawadu kujua ka ana vyeti. Tusubiri Jumapili.
 
Kwani mliwahi kusikia Askofu ni mgumba ?

Sifa kwa Askofu kwa kuujaza ulimwengu.
 
Haya kesho mapema wanaokwenda kanisani.Atamwaga kila kitu na huyo aliuemtuma huyo dada atajuta
 
Spin doctors hata mfanye nini, hatubanduki kwa mhongwa magari Bashite. Iwe jua au mvua.

Kwa mwanaume kuwaka tamaa ni kawaida sana. Binafsi nimechepuka mara nyingi tu. Vyeti kwanza.

Tena bora tumejua kuwa kumbe baba Askofu ni rijali, akikosa mtoto watajua kuwa ni shoga. Hongera sana baba askofu kwa kuijaza nchi, naamini ulishatubu hiyo dhambi na Mungu amekusamehe na kukusafisha


Bashite vyeti

Vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti vyeti
 
eti askofu duuuu huyu mh ni noma kwa kuhudumiwa na kondoo wake
 
Kwa hiyo umekuja hapa ili umsafishe Bashite,uyo mama mwambie kama kazalishwa na Gwajima alipanua mwenyewe kwa nyege zake,wakati anapanuliwa alienda kwenye media,na wewe kama unaona uyo mama alifaidi na wewe kampanulie Gwajima ili muwe kampuni moja,acha upoyoyo bwege wee.
Wee mjinga kweli. Hii ni habari kama nyingine nyau wewe. Usipende kusikia uyatakayo. Tena koma kunishambulia mimi chizi wewe. Mimi nimeripoti kinachoendelea tu. Uwe na adabu, nyambafu!!
 
Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Gwajima na mtoto wake, Bashite na vyeti vyake.
 
Mtu kama gwajima anafaa kuwa mtumishi na kuwaongoza kondoo wake na ilhal matendo yake si mazuri kama ni kweli lakini je anafaa kuwaongoza waumini wake au anapiga porojo tu
Hilo lipo kwa wanaume wote, ni kawaida sana
 
hawa watu wamemkosa huku Mzee Gwajima wameamua kutafuta njia nyingine. Tumeshawastukia hako kamchezo kenu
 
Back
Top Bottom