johnlowasa
Senior Member
- Sep 29, 2016
- 121
- 76
Mtu kama gwajima anafaa kuwa mtumishi na kuwaongoza kondoo wake na ilhal matendo yake si mazuri kama ni kweli lakini je anafaa kuwaongoza waumini wake au anapiga porojo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asubiri kusimama kizimbani . Ccm siyo watu, watamtelekeza hataamini. Visenti alivyopewa vitakwisha na zigo la kashfa atabaki nalo.Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Kwa iyo anayejiita askofu ni haki yake kukubaliana kufanya matusi?Hoja yakipuuzi kuliko zote
Alibaka au walikubalina?
mpaka amezaa nakukuza mtoto maana yake walilidhiana
Ikibidi amzalishe mtoto wa pili kabisa
Kesho ataongea na family yakeHivi si mmeona kwenyewe jinsi anavyochokozwa Gwaji
Wee mjinga kweli. Hii ni habari kama nyingine nyau wewe. Usipende kusikia uyatakayo. Tena koma kunishambulia mimi chizi wewe. Mimi nimeripoti kinachoendelea tu. Uwe na adabu, nyambafu!!Kwa hiyo umekuja hapa ili umsafishe Bashite,uyo mama mwambie kama kazalishwa na Gwajima alipanua mwenyewe kwa nyege zake,wakati anapanuliwa alienda kwenye media,na wewe kama unaona uyo mama alifaidi na wewe kampanulie Gwajima ili muwe kampuni moja,acha upoyoyo bwege wee.
Gwajima na mtoto wake, Bashite na vyeti vyake.Hii ndio mambo tusiyopenda, mwanamama anahojiwa na Anthony Joseph anadai kazalishwa na askofu. Halafu katelekezwa. Anasema yu tayari kupima DNA. Anasema mtoto ni mjanja mjanja kama Gwajima.
Hilo lipo kwa wanaume wote, ni kawaida sanaMtu kama gwajima anafaa kuwa mtumishi na kuwaongoza kondoo wake na ilhal matendo yake si mazuri kama ni kweli lakini je anafaa kuwaongoza waumini wake au anapiga porojo tu
Kahojiwa mwanamama wa ustawi wa jamii ubungo kasema tatizo ni matunzo ya Max na haki ya mtoto kumjua baba.Ni mwanafunzi au alibakwa au kuna element yoyote ya jinai?
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app