Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

Kahojiwa mwanamama wa ustawi wa jamii ubungo kasema tatizo ni matunzo ya Max na haki ya mtoto kumjua baba.
Umekomaa na thread, huyo binti ana kiherehere tu

Leteni vyeti, hizi ni case mbili tofauti
 
Kwani kumzalisha mtu ni kosa la jinai Makonda anakosa la Jinai kufoji jina la mtu ni kosa kisheria mwanamke huyo anatumiwa na Makonda
 
Bashite alete vyeti na ajibu tuhuma za kudai na kupokea rushwa ya magari kutoka kwa watuhumiwa wake
 
Ndo maana yupo Redio UHURU baadae TBC baade Mawingu huo ni mchezo wa kupangwa na kumzalisha mtu sio kosa kisheria
 
Huyu binti ni yatima mzaliwa wa Gumanga Kiomboi Singida. Alikwenda kutafuta msaada wa kiroho ndipo akakutwa na mambo hayo.
Kiomboi ni makao makuu ya wilaya ya IRAMBA, huko Gumanga ni wilaya ya MKALAMA
 
Atakufa kea NJAA matako yake,kazalishwa na muuza mapupu baada yankupewa elfu kumi anatumika tu.
 
Naona mnafanya makusudi ili afanye uploads za kutosha kesho, week hii raha sana Leo Lisuuuuuu, kesho Gwajima aaaaaa, keshokutwa Bashiteeee tukutane pale kisutu.
 
Kesho kile kigazeti chao cha kufungia maandazi kitaweka fronti page hii habari
 
Mkuu Kinyeo kinakuwasha?
Wee mjinga kweli. Hii ni habari kama nyingine nyau wewe. Usipende kusikia uyatakayo. Tena koma kunishambulia mimi chizi wewe. Mimi nimeripoti kinachoendelea tu. Uwe na adabu, nyambafu!!
 
Dada mwenyewe kwa muonekano tu ni kama hamnazo. Na hata km ni kweli hakubakwa
Akwende kulee
 
Wenye akili hatuna muda wa kupoteza na izo propaganda Mavi, akili yangu imejikita kwenye vyeti basi.
 
Back
Top Bottom