amadeusity
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 560
- 291
aliposema Bashite kafoji vyeti mlisema alikua wapi kuongea toka zamani,ameona swala la madawa naye kaanza kumchafua RC
Nasi tuwaulize alikua wapi kusema tangu awali Mimba imekaa miezi 9 mpaka amejifungua mtoto?
Ameona Mzee Gwajima ameongea kuhusu vyeti feki ndo naye kaibuka
Nauliza tena alikua wapi mtu huyu?
Nasi tuwaulize alikua wapi kusema tangu awali Mimba imekaa miezi 9 mpaka amejifungua mtoto?
Ameona Mzee Gwajima ameongea kuhusu vyeti feki ndo naye kaibuka
Nauliza tena alikua wapi mtu huyu?