Mapenzi..i guess he js wants the difference na Baba'keHarry anaoa kwenye dysfunctional family
Haya mnayajuaje jamanii hahahahUmesikia eti kuna family drama kwa kina Meghan mpaka Queen ameanza kuboreka kabla ya harusi ya Jumamosi..
Kwa hiyo akitoka queen Elizabeth nani anakuwa queen au kingBaba wa Megan hatahudhuria harusi ya mwanae Jumamosi
Wanasoma mitandaoniHaya mnayajuaje jamanii hahahah
Jamanii yaan utafikiri wanaishi nao pale palaceWanasoma mitandaoni
Swala la gender lilishafutwa. Walifanya marekebisho kama sijakosea 2012 or so. Hivyo Charlotte ana haki kabla ya Luis. Harry hana nafasi ni mpaka say bahati mbaya William na kizazi chake wasiwepo duniani . Naona hata mitandaoni walishapost hivyo. Nina uhakika 100% na ninachoandika hapa.
Baba mkwe wa kuleo yes Prince Charles
Haya mnayajuaje jamanii hahahah
Wanawake ni kulilia bahati uzuri tupa kuleHuyu demu ana bahati sana yaani na kigimbi chote hiki kama Nsajigwa bado amemudu kuusogelea Uprincess na kuzama Buckingham palace kiulaini. Achilia mbali uafrika wake, divorced, scandals, being American e.t.c but she made it to the palace.
Women don't give up hata kama single mother...love conquer all, siku moja ataingia kingi hata Mohammed dewji muhimu ni ku hang sehemu ambazo Dewji anahang..you never know..shiit happen!! ..kama Ntuyabaliwe alivyompofusha Mengi kirahisi na kupunguza ukali wa maisha akiwaacha Wema na wenzie wakipauka kitaani. View attachment 780727View attachment 780731
Nyie ni balaaHahah!, upekenyuzi tu mama Sabrina...lol!
[emoji28] [emoji23] [emoji23]Jamanii yaan utafikiri wanaishi nao pale palace
Huyu demu ana bahati sana yaani na kigimbi chote hiki kama Nsajigwa bado amemudu kuusogelea Uprincess na kuzama Buckingham palace kiulaini. Achilia mbali uafrika wake, divorced, scandals, being American e.t.c but she made it to the palace.
Women don't give up hata kama single mother...love conquer all, siku moja ataingia kingi hata Mohammed dewji muhimu ni ku hang sehemu ambazo Dewji anahang..you never know..shiit happen!! ..kama Ntuyabaliwe alivyompofusha Mengi kirahisi na kupunguza ukali wa maisha akiwaacha Wema na wenzie wakipauka kitaani. View attachment 780727View attachment 780731
Nadhani Meghan pia alitaka kupata kitu Fulani kwenye masuala ya kifamilia maana baba yake naona kichwani hajatulia sana kasi cha kuanza ujinga na kuishia kupata ugonjwa wa moyo.
Lakini mama yake Meghan alitua London jana na Charles ndiye badala yake atamshika mkono Meghan kuingia nae kanisani Quire of St George's Chapel kesho kumuoza kwa niaba ya mzee Markle.
This has to be done in hard way regardless.
Jamanii yaan utafikiri wanaishi nao pale palace
Hii sijawahi kusikia, baba mkwe mtarajiwa kum walk mkwe wake mtarajiwa down the Isles?!!
Mitandaoni naona Wamarekani wamecharuka, tons of comments suggests Mama yake Meghan ndio angem walk binti yake kanisani. Naona kwao sio issue and they'd rather iwe hivyo kuliko baba mkwe. Au sijui kwa sababu ni Charles..
Mturushie na pichaUnafahamu mtu kama Prince Harry akisema kwamba ameamua kuoa watu wanashangaa na kuacha midomo wazi tena anakuja na mtu asietarajiwa.
Hiyo ni kwasababu mtu charming kama huyu ni mtu anaependwa sana na wazungu kutokana na utundu wake ingawa hamfikii kaka yake kwa umaarufu.
Kwa watu kama mimi ambae tumemfuatilia Prince Harry tangia amezaliwa tunaona kwamba hii ni hatua kubwa sana alochokua khasa ukizaingatia kuwa hawa vijana walimpoteza mama yao katika mazingira tatanishi.
Hivyo tumpongeze Prince Harry kwa kuamua ku-settle down na mwanadada Meghan.
Ratiba kamili.
Leo usiku wanalala kwenye kitongoji cha Windsor Castle kwenye kajumba kaitwacho Clavedine House pamoja na watoto wote wapambe wakiwemo Prince George na Charlotte.
Jumamosi asubuhi sherehe yaanza.
Ahahaha!! Nalendwa sema ukweli my eyes stuck kwenye hicho kigimbi cha kibabe yaani kama winga wa Yanga afrika ya miaka ile anaitwa Said Maulid aka SMG alikuwa anakimbia kama risasi huyu njemba na kigimbi chake lilikuwa size ya hicho cha Megan. Ahahaha!Hahah!, yaani wewe, eti umeona kigimbi tu! 😀
Umetoa somo zuri tho, pamoja na mifano hai..
Meghan sure found her Prince...like for real for real. What are the odds on that huh!