Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mwanamfalme wa Uingereza Harry kufunga ndoa na muigizaji wa Marekani Meghan Markle

Mkuu, elewa nilichoandika maana kina uhakika wa asilimia 100.

Harry ni mtu wa tano kufuatia kofia ya ufalme.

Charlotte nafasi yake imechukuliwa na Louis hivyi kumshusha Charlotte kuwa baada ya Harry.

Charlotte hawezi kumpita Harry kwenye hicho kiti ndivyo mahesabu ya kukifuata kiti hicho yalivyo.

Ni utaratibu tu lakini inajulikana Mfalme ajae na anaeandaliwa ni William.
Swala la gender lilishafutwa. Walifanya marekebisho kama sijakosea 2012 or so. Hivyo Charlotte ana haki kabla ya Luis. Harry hana nafasi ni mpaka say bahati mbaya William na kizazi chake wasiwepo duniani . Naona hata mitandaoni walishapost hivyo. Nina uhakika 100% na ninachoandika hapa.
 
Mkuu, elewa nilichoandika maana kina uhakika wa asilimia 100.

Harry ni mtu wa tano kufuatia kofia ya ufalme.

Charlotte nafasi yake imechukuliwa na Louis hivyi kumshusha Charlotte kuwa baada ya Harry.

Charlotte hawezi kumpita Harry kwenye hicho kiti ndivyo mahesabu ya kukifuata kiti hicho yalivyo.

Ni utaratibu tu lakini inajulikana Mfalme ajae na anaeandaliwa ni William.
Swala la gender lilishafutwa. Walifanya marekebisho kama sijakosea 2012 or so. Hivyo Charlotte ana haki kabla ya Luis. Harry hana nafasi ni mpaka say bahati mbaya William na kizazi chake wasiwepo duniani . Naona hata mitandaoni walishapost hivyo. Nina uhakika 100% na ninachoandika hapa.
 
Harry anaoa kwenye dysfunctional family
"Cashing-in" might all be a little uncouth for the royal family but, hello, this the real world where people have to earn a crust. And your majesty, if your boys are going to ''take on commoners,'' then you have to accept the in-laws too. Nimeinyaka SKY NEWS
 
Prince Charles si ndio alitakiwa awe mfalme...ila nasikia walimtoa baada ya kuona haeleweki haeleweki......wakaamua iruke mpaka kwa mwanae william.
Nimesikia hivyo ni kwa aliyomtendea Diana na kuoa divorcee Camilla
 
Back
Top Bottom